Ukomae wewe nazi ? πππππππππππππππππππππππππππHahhaaa mimi ambaye najijua kabisa si wife material, nimejiamulia kukaa tu kimya. Ukisikia tu "wewe ndiyo umekomaa sasa", ujue these sons of Solomon are trying to legitimize some nonsense. Ukomae wewe nazi?
Itβs true na kama anapiga kweli goti nyumba yake ingekua na ulinzi dhidi ya michepuko lol,,,,,( ni vibaya kuhukumu lakini/ku judgeLazm kuna mahala unafeli mume hawez chepuk iv iv
Sanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
Picha yako iwekwe kwenye mabasi yote kama mama shujaaKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Akizingua, hata wewe nitakupa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchepuko unajua kuloga yaani wote mpo kwenye chupa! Hii ni ajabu sana, anyway mtu akikunyang'anya koti mwachie na kanzu pia eeti!?Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Ni kauli thabiti ya mwanamke hodari.Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Simu kuacha kupekenyua ndo kuhalalisha maasiUna hakika wewe sio malaika??
Mi sishauri muachane ila nachoweza kukushauri acha kabisa simu ya huyo baba maana ukiendelea kuipekua yajayo yanaweza yasiwe ya kufurahisha!!
Usiwe unaigusa hata kwa bahati mbaya hasa kwenye texts na whatsapp!!
Tuliza shobo my dear hunijui sikujui usijifariji kwa uzi huu au unadhani kutokufanya maamuzi kama utakayoyafanya wewe ni kujichokea? Hakuna mpumbavu hata mmoja huo ndo uhalisia by the way sio kwamba sitauliza au sitafatilia hilo umejijibu mwenyewe. Halafu nadhani ww ndo umejichokea kwa sasa upo tuu umeachwa hapo baada ya kujifanya ujuaji mwingi. Halafu unajikuta unayawezaaa au ww ndo ukijua unachitiwa unakufa kabisa.Wewe ndo huna maisha. Umeshajichokea huna pa kwenda ndo maana unaona mwanaume wako kuwa na mchepuko ni sawa tu[emoji23]. Ukaamua uanzishe uzi huku ili wapumbavu wakupe hongera[emoji23][emoji38]
Unanichekesha sana kwahyo kutokureact kwa kuzua varangati ndo nati zimekatika. Ww utakua mwalimu wa kiswahili wana maneno ilimradi sentensi zao ziwe na kivumishi na kielezi basi wanaongeaSi bure nati zitakua zimekatika kichwani mwake. Isije kua mwanaume alimuoa kwa kumuonea huruma.
Mkuu wewe ni bonge la wife aisee. Braza amepata mke. Braza atumie tu kinga.Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Yani my dear kwa hilo usijali kabisaaa yani mm huruma yangu ni kwa jinsi anavyoteswa na stress but sio mjinga wa kukaa kimya eti sijauliza nop au si take action yyte kwa mustkabali wa afya zetu.Nop. Kuumia ni kawaida ila hapa tunaongelea uhalisia na jinsi ambavyo jamii imeharibika. Angalau miaka ya nyuma maradhi hayakua mengi na globalization haikua kubwa hivi. Lazima tuendane na kasi ya mabadiliko or else uletewe hepatitis hapohapo ndani
ahaaaaaahaaaaaNamuhurumia mume tuu ni wangu
Hapana hili ni kosa la kwanza na nitake action baada ya hapo kama ntaona habadiliki ntachukua action nyingine. Hakuna binadamu aliekamilika kwamba labda ww hujachitiwa au hujui kama anacheat basi useme umefanya kila kitu hiyo hakuna. Sijaona mabaya hapo nyuma, just for this issue let me wait. Asante kwa ushauriMkuu kumuachia mumeo a cheat ni sawa na kujivalisha mabomu kama wale suicide bombers! Kuna magonjwa mengi siku hizi, utaletewa ukimwi ndani, ninachoona mimi Uko kwenye denial state, huamini kama mumeo anakusaliti, na unafeel guilty and helpless labda kuna vitu hukufanya .. accept the reality kwamba hukufanya lolote bayw na mumeo doesnβt deserve you, move on! Wengi tu wameweza kuishi peke yao na watoto bila ndoa, YES UNAWEZA
Miss Pablo mbona uko moto hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] is this lady Mother Theresa, Our Lady of Fatimah or Rita wa Kashia?
Praying for whoom?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahfwax. Somebody is chewing somebodyz pussy and i gotta pray for that shit? Hahahahahaha oover my blaaackkk assssy... like wtf am i reading?
Heading to bulldoza mwampoo to step annointed oil? Lemme shake my bam bam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Sister Mary Antony angeninasa kibao ingekua miye. Nishinde njaa nafunga kwaajili ya mtu anakojoa kwa raha hukoo[emoji23][emoji23][emoji23] kojoo pwaah la rahaaaaa mimi nimekesha na mawaridi ya sala nimeshinda njaa na nashinda kila semina sijui kwa kina ireene mbowe sijui wapi kumuombea mzinzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Barikiwa saana sana sanaaa.
Akikujibu unitag mkuu.Uko kwa ndoa best?
Hapana hili ni kosa la kwanza na nitake action baada ya hapo kama ntaona habadiliki ntachukua action nyingine. Hakuna binadamu aliekamilika kwamba labda ww hujachitiwa au hujui kama anacheat basi useme umefanya kila kitu hiyo hakuna. Sijaona mabaya hapo nyuma, just for this issue let me wait. Asante kwa ushauri