Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nimemuuliza hapa muda sio mrf na kwa sbb niliscreen short msg so nikampa ushahidi. Ameshtuka kwanza na akasema why unasachi simu yangu mie nikamwambia kuhusu kusachiwa simu hilo halina mjadala mie si mkewe?
so nisishike simu kwa sbb gani? So nikataka kujua what happened huyo dada wana issue gani nae. Akasema ni kweli wana mazoea but not love affair maybe na km ingetokea ingekua sio kwa akili yake anasema huyo bi dada aliomba apewe hela ya biashara kwa malipo badae sasa naamuuliza malipo ya papuchi? kasema hapana. Na anasema alipoomba hela ya mtaji alimjibu kuwa ntakupa but akawa anapotezea. So ndo jana anamkumbushia,nilichomwambia bado sijaridhika na maelezo yake ni bora akawa muwazi zaidi kasema hivyo ndivyo ilivyokua. Amenihakikishia hata kama alitaka kumla amehairisha. Nimemwambia maradhi mengi asije niua aisee
Huko kigoma ndo tutawaua kbs[emoji23][emoji23][emoji23] humbwa kbs. Leo hizi hasira muamshie dude jamaa sasa nafasi ndo hiiSubiri kipigo cha mbwa koko nadhani ndumba zenu zimetubamba leo
Unastahili kupata ulinzi kabisa kwasababu ya busara zakoKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Huyu mleta maada atakua hana kipato chake, kwao hali mbaya yeye ndo kaolewa na don, au alijibebesha mimba ili aolewe, au ana sura personal na km zimesoma sanaaa.Tuliza shobo my dear hunijui sikujui usijifariji kwa uzi huu au unadhani kutokufanya maamuzi kama utakayoyafanya wewe ni kujichokea? Hakuna mpumbavu hata mmoja huo ndo uhalisia by the way sio kwamba sitauliza au sitafatilia hilo umejijibu mwenyewe. Halafu nadhani ww ndo umejichokea kwa sasa upo tuu umeachwa hapo baada ya kujifanya ujuaji mwingi. Halafu unajikuta unayawezaaa au ww ndo ukijua unachitiwa unakufa kabisa.
Na pia tupongezwe kwa sababu tuna shahuku ya kumsaidia kila mwanamkeWanaume tusamehewe
Kua na adabu na walimu wa kiswahili maana wao wamekufundisha umeweza kusoma na kuandika.Unanichekesha sana kwahyo kutokureact kwa kuzua varangati ndo nati zimekatika. Ww utakua mwalimu wa kiswahili wana maneno ilimradi sentensi zao ziwe na kivumishi na kielezi basi wanaongea
Shoga bora useme wewe mchi nikisema mm kinu nitaambiwa nina mdomo mpana[emoji23][emoji23][emoji38][emoji23][emoji23] shost amekuja kujifariji na comment za wanaume wachepukaji anasahau kuna magonjwa ya zinaa.Yangekuwa makosa mengine madogo sawa ungesema unasubiri afanye tena kosa, ndio um confront , ila ndugu amka mumeo hajafanya tu sex one time useme ni kosa la mara moja MUMEO KAAMUA KUWEKA KAMBI SEHEMU NYINGINE, in other words anapata anachokitafuta muda wowote anoutaka, kwa maana nyingine anakukosea REPEATEDLY, ni makosa kila siku sio kitu cha mara moja POLE huoni picha halisi umeamua mwenyewe kwa utashi wako kuwa blind, nimeona texts za wanaume zimekulewesha, unakazana sana kutujibu wadada
Ndugu hili ni lako, utalewa na sifa za humu ila baada ya kuzima computer/simu etc unabaki na kasheshe lako.. lol
Huu ndo uwanamke sasa hiyo ndo maana ya kuwa Mama mwenye nyumba. Well done[emoji1547]mtumie msg huyo omba omba kwenye simu ya Mr mwambie sina pesa ya kukupa halafu piga block moja takatifu.Jamani nimemuuliza hapa muda sio mrf na kwa sbb niliscreen short msg so nikampa ushahidi. Ameshtuka kwanza na akasema why unasachi simu yangu mie nikamwambia kuhusu kusachiwa simu hilo halina mjadala mie si mkewe?
so nisishike simu kwa sbb gani? So nikataka kujua what happened huyo dada wana issue gani nae. Akasema ni kweli wana mazoea but not love affair maybe na km ingetokea ingekua sio kwa akili yake anasema huyo bi dada aliomba apewe hela ya biashara kwa malipo badae sasa naamuuliza malipo ya papuchi? kasema hapana. Na anasema alipoomba hela ya mtaji alimjibu kuwa ntakupa but akawa anapotezea. So ndo jana anamkumbushia,nilichomwambia bado sijaridhika na maelezo yake ni bora akawa muwazi zaidi kasema hivyo ndivyo ilivyokua. Amenihakikishia hata kama alitaka kumla amehairisha. Nimemwambia maradhi mengi asije niua aisee
walahiii nimesoma mara mbili mbili nmebakia kutabasamu tu pepo umeiona dada tumia busara ktk hili usimwonee huruma i love youuuuuuuuuu ghafla hv hna mdogo wako te te te teKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
aisee dahUna moyo mpana Sana,
Mimi bhana kwa sasa, niko tayari kuua mchepuko na bwana kaka nilishamjulisha hilo,
Huo ni ukweli dia wanaume humu huwa wanadaganyana Sana Sasa na huyu mwenzetu Wana mu mislead kwa sifa za kijinga, kwa hzo indicator ajiandae tu kwa kweli, himaya yake imevamiwa tayari. Mume mchepukaji ukimfuma hata nyege hukata bana tusijifarijjUkorofi. Ni huo ukoorofi wako[emoji23][emoji23]
Sitaki utani na mume wangu, nimempa Kila kitu sitakubali kumpoteza kijinga jinga tu eti kisa anatimiza majukumu yake vizuri ya kutunza familiaaisee dah
shikilia hapohapo hawa michepuko wanatukomba pesa sanaSitaki utani na mume wangu, nimempa Kila kitu sitakubali kumpoteza kijinga jinga tu eti kisa anatimiza majukumu yake vizuri ya kutunza familia
Una akili sana wewe mwanamke. It rains every where. We hakikisha tu familia anahudumia vizuri. So usiwe na shidaKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
😂😂😂Sanamu lako lijengwe juu kwenye daraja la Mfugale haraka sana.
Nitatoa nondo mbili
Na wako wanaomwambia ukweli hapa ukiangalia. Ila majority kwakua wamejawa na uzinzi ndo wanammislead mwenzetu. I just feel so sorry for her coz she seems so innocent. Huruma sana. And maybe ndo denial stage. Unajua kuna namna mnaishi na mwenzako ukajua anakucheat inakua ngumu kuamini ehHuo ni ukweli dia wanaume humu huwa wanadaganyana Sana Sasa na huyu mwenzetu Wana mu mislead kwa sifa za kijinga, kwa hzo indicator ajiandae tu kwa kweli, himaya yake imevamiwa tayari. Mume mchepukaji ukimfuma hata nyege hukata bana tusijifarijj