Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Ndugu yangu labda uwe umemuokota kweli huyo mwanamke wa kumtishia nyau. Unahisi na yeye hawezi kuflirt au hana ubavu wa kumove on na mtu mwingine? Achana na mambo ya kuflirt, kwa sababu naamini ukikuta hayo kwa mwenzio roho itakukaa juu juu. Mnajitafutiaga presha za bureeee
Tena hizo roho zinapaa kabisa kuflirt sie ha ha ha....mkuki kwa nguruwe bwana!
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Yani ww mwanamke unastahili ulinzi kwa kwel...! Na picha yako iwekwe kwenye ofisi zote za serikali
 
Vile inaonekana huduma muhimu hubby anakupatia (OG na mengineyo) ndo maana umeishia kumuonea huruma.
Usisitishe game..tena ongezea manjonjo mpe ipasavyo.
Jamaa atumie helmet tu kwa kina zuchu. Tena ukiweza mnunulie na msisitize acheze salama.
 
Huyu mleta maada atakua hana kipato chake, kwao hali mbaya yeye ndo kaolewa na don, au alijibebesha mimba ili aolewe, au ana sura personal na km zimesoma sanaaa. Kwa kifupi ninaweza kusema hana maisha anaishi maisha ya huyo mwanaume. Endelea kuvumilia ila usisahau kuna chai angalia usije kuungua tu ukaacha watoto wanataabika kwa uzembe wako.
 
Huyu mleta maada atakua hana kipato chake, kwao hali mbaya yeye ndo kaolewa na don, au alijibebesha mimba ili aolewe, au ana sura personal na km zimesoma sanaaa. Kwa kifupi ninaweza kusema hana maisha anaishi maisha ya huyo mwanaume. Endelea kuvumilia ila usisahau kuna chai angalia usije kuungua tu ukaacha watoto wanataabika kwa uzembe wako.
Dah.., kwahio mtu akivumilia maana yake hana kipato chake?
 
Dah.., kwahio mtu akivumilia maana yake hana kipato chake?
Chunguza hilo swala ninalokwambia mwanamke asiyekua na kipato hana pa kwenda. Hata ulete mwanamke ndani atajifanya kuvumilia kwa ajili ya watoto kumbe hana lolote nina mifano hai kabisaaa.
 
Mwanaume n wako ukiwa naye akiisha geuza mgongo n wa wote cha muhimu ,usiwe unakagua smu ya mumewe utajipa stress kam mtu anatimiza majukumu yake n vizuri, koz ukisema umgusie hyo sms humo ndani hakutakuwa na amani kabisa.
 
Kabisa kabisa ndo maana siwazi kuchepuka na mm coz ni kuzidisha ma
Chunguza hilo swala ninalokwambia mwanamke asiyekua na kipato hana pa kwenda. Hata ulete mwanamke ndani atajifanya kuvumilia kwa ajili ya watoto kumbe hana lolote nina mifano hai kabisaaa.
Kuvumilia n kuona kuwa hata kama ukumuacha huko unakokwenda hatakucheat , so n bora ukae tu hapo hapo ,pili watoto nacho n kigezo cha kuvumilia
 
I wish ningekua na moyo kama wako,, hongera sana kwa uvumilivu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom