princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Ntamuangalia maana inategemeaga na ntu na ntu50 ndogo unamwambia laki Tena Kama Hana unamwambia kopa tu kesho nakurudishia bby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntamuangalia maana inategemeaga na ntu na ntu50 ndogo unamwambia laki Tena Kama Hana unamwambia kopa tu kesho nakurudishia bby
picha yako iwekwe kwenye salama condom zote nchiniKatika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
mwandiko wa mwenye STRESSKama akipata demu wa kizungu aende nae MALDIVES haki sikuhio atapasuka kwa hasira halafu tunamuwao ooh baby Have you been well ?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Fafanua vyemamwandiko wa mwenye STRESS
Basi tu. Sitaki babu weeNdiyo wewe hapo. Why hivvyo?
Basi muyavumilie pia maumivu kama mnajua inauma kusalitiwaMke anauma aisee, sisi hua tukichepuka ni kwajili ya mechi tu na vijitamaa ila nyie daah mkichepuka mnauza hadi upendo ndio sababu[emoji23]
Kosa lako ni kukagua simu. Kwanini ukague simu yake?Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Hahaha! Dahkabla sijacoment naomba kujua kama upo serious
😂🤣🤣unaona sasa [emoji2]
Muache tu akague simu yake atalia jana nilikuwa naye alinipa hela nusu
Duh....isijekua kweli mwenzio akapandisha bp bure. Na nyie mkitudaka wenye ndoa mnatunyoosha kweli......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muache tu akague simu yake atalia jana nilikuwa naye alinipa hela nusu
Yaani ukiona mvua imekunyea basi huna choice unaitendea haki tu best maisha ni haya haya[emoji23][emoji23][emoji23] big up darling.. thats how we roll it.
Kweli eti ngoja nikuambie kitu hii mada hajaikosea tatizo sidhani kama yupo arusha.Duh....isijekua kweli mwenzio akapandisha bp bure. Na nyie mkitudaka wenye ndoa mnatunyoosha kweli......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kama nipo nataka muda wote maana wanawake huwa mnatoa papuchi pale mnataka na nini sisi wanaume tupo tofauti ndio maana tunachepuka...Ewaaaaah, usipochepuka mbona mimi na wewe tutaenda sawa. Ila ukijidai hauridhiki na papuchi yangu huku unategemea mimi niridhike na nanilii yako, utafeli.
Usishindane na mwanaume....utashindana na wamaume wangapi??Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.