Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Mkuu wanawake kama wewe bado wapo kumbe,, nilifikiri waliishia kizazi cha nuhu...

Ngoja niendelee kutafuta
 
picha yako iwekwe kwenye salama condom zote nchini
 
Hauna mdogo wako nije kuoa ,maana wanawake dizain yako walikufa kwenye MV Bukoba wamemalizika juzi tu hapa na Corona
 
kabla sijacoment naomba kujua kama upo serious
 
Kosa lako ni kukagua simu. Kwanini ukague simu yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ewaaaaah, usipochepuka mbona mimi na wewe tutaenda sawa. Ila ukijidai hauridhiki na papuchi yangu huku unategemea mimi niridhike na nanilii yako, utafeli.
Je kama nipo nataka muda wote maana wanawake huwa mnatoa papuchi pale mnataka na nini sisi wanaume tupo tofauti ndio maana tunachepuka...
 
Usishindane na mwanaume....utashindana na wamaume wangapi??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…