Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kwahio huu ndio mchezo wenu kumbe usisite kunicheki ikifika wasaa huo!😜😁Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio huu ndio mchezo wenu kumbe usisite kunicheki ikifika wasaa huo!😜😁Naunga mkono hoja
Kama hio ndio shepu yako naomba unipe namba pm nikuelkeze cha kufanya kama hutojali!Kwani mna cha shepu na sura nyie
Hii kweli kiboko😂😂😂Umpige nani chini? Labda niamue kuondoka mwenyewe au wewe uniachie nyumba usepe.
Demu wangu alileta kiherehere cha kuiba namba ya chepuko langu kwa siri na kumtumia sms za utopolo kilichofuata alichambwa hadi akaja kunilalamikia!He he he he dada unaumwa malaria nn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeniudhiii. Napata hasira kwa niaba yako.
Ningemjib text "bado hujajua kumkatia viuno vizuri ongeza bidii na mimi mama nyuki nitatop up"
Unalaaje kizembe hv[emoji23][emoji23]
Nitatoa lori moja la kokotoMifuko kumi ya cement [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji3]
Mie napenda kama yule wa gwajima😂😂😂 heka heka za kazi gani? Atoe miguno tu hata akiwa gogo sio ishuHuwajui wanaume Miss😂😂 hawa viumbe hata upande dirishani ufanye kama unaidondokea bado atatoka akatafute inayolala tu kama yule manzi wa Gwajima maana hizo zako atakuja kuziona kama vurugu tu
Hahah mwanamke mwenye maneno mengi huwa katika vitendo 0! Hapa wanaongea tu ila mume akichepuka wanalia lia tu huko kwenye maisha halisi 😂😂😂 tena huwa ving’ang’anizi kinoma! Wanamcheka mtoa mada ila approach zao ni zile zile tu ku bow down!Amini nakuhakikishia wewe ni mwepesi mno, hapa unaandika tu but huna zaidi ya kukubali matokeo. Tafiti zinaonyesha wanawake wenye misimamo Kama yako huwa hawana ujanja wowote kwa mwanaume.
😂😂😂😂😂 hii kiboko kudadadeqMburaaa!!!!ungemtext uyo dada umwambie daa nimekwama hapa km ef50 ntakupa kesho asubuhi nikipitia bank.. tuma kwa namba hii unaweka yako akituma unafuta sms..... kesho wakiulizana we unauchuna kama hujui kitu..
kwenye betting tunaita double chance/ waswahili wanasema unaua ndege wawili kwa jiwe moja/ wazungu win win situation [emoji2][emoji2]
Baharia at work 😂😂😂 intelijensia yako ni level ingine bro!Hongera sana dada. Naomba nikutumie zawadi kwa sababu umeonesha ukomavu wa hali ya juu. Usingekuwa umeolewa I could find you.
NB: Tafadhali naomba unijulishe namna ya kukupa zawadi yako dada.
Upo safe sana kwa uamuzi huoBora wewe umekagua hata simu,mi sina habari na simu yake hataa,majukumu ya familia yalivyonibana then nianze kujitia mapressure ya nn
Kuolewa unaona hujathaminiwa?Hahaha ndioo. Kwasababu tu wana vyeti. I cannot feel comfortable sehem najua sipendwi and am not recognised. I quit. Napaswa kutambua ya kwamba mimi ni wa thamani sana kabla ya mtu mwingineyo yeyote hajaniambia hilo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo ndio wa mwisho brother stoo imebaki vumbi tu....
Angalau awe attention kuwa mmiliki upo unamzoom[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara moja moja si mbaya. Macho hayana pazia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mimi nilipo hapa mke kanipa limbwata na mchepuko kanipa limbwata yaani najiona kama niko sayari ya Pluto
Na wote tuseme ameeeen….Hiyo tabia inakubalika kwa wanaume tu. Kwa mwanamke ukibainika unachepuka unaachwa hapohapo
Tunawaza mbesa muda wote [emoji23][emoji23]Daah ila mabinti wa kichaga aisee..!! Unajua hadi betting
we mpaka kufikia kuombana sapoti za biashara si inamaana mume wangu ni danga, sasa na mimi nirudishe hata ef50 nanunua kitimoto na wine safi mwanangu juice box zima yani sikuhio mume wangu akirudi anakuta kodi ya meza ipo palepale halafu nyumbani watu wanajisosomola hela katuma hawara ake [emoji23][emoji23][emoji23] halafu tunamuwekea NAHESHIMU MADANGA YA MUME WANGU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kiboko kudadadeq
HahahahahahahTunawaza mbesa muda wote [emoji23][emoji23]we mpaka kufikia kuombana sapoti za biashara si inamaana mume wangu ni danga, sasa na mimi nirudishe hata ef50 nanunua kitimoto na wine safi mwanangu juice box zima yani sikuhio mume wangu akirudi anakuta kodi ya meza ipo palepale halafu nyumbani watu wanajisosomola hela katuma hawara ake [emoji23][emoji23][emoji23] halafu tunamuwekea NAHESHIMU MADANGA YA MUME WANGU
Kama akipata demu wa kizungu aende nae MALDIVES haki sikuhio atapasuka kwa hasira halafu tunamuwao ooh baby Have you been well ?? [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahah
Hii strategy ni fujo isioumiza 😂😂😂Kama akipata demu wa kizungu aende nae MALDIVES haki sikuhio atapasuka kwa hasira halafu tunamuwao ooh baby Have you been well ?? [emoji23][emoji23][emoji23]