cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongooooSikuweza kukaanalo ilinibidi kumwambia ukweli na alinicheka kwelikweli...Mtu mzima full kujionea aibu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muongooooSikuweza kukaanalo ilinibidi kumwambia ukweli na alinicheka kwelikweli...Mtu mzima full kujionea aibu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeah! Alikua kaifunga nilipomuomba afungue alikubali sasa hizo convo! Acha tu kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hivyo mkuuHa ha ha. . . Kaaazi kwelikweli [emoji4]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Amaa watu mnajua kubinu mbwinu kali za kupata watoto.
Yeah, mimi huyo! Unajua hata jpm wakati anachukua nchi aliitwa mlugaluga na mshamba.....Leo nafikiri anaongoza kutajwatajwa!!😊😊Wewe huyo sio? Na leo uniote tena ila sio kunianzishia uzi
DuuhImetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.
Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.
Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Hahaha
HahahaPunguza shobo mkuu,tafuta hela[emoji1]
VyoteYaani unamuota mtu ambae humjui, au ndo unajisogeza
HahahaImagine huyo kapeace ni id ya mwanaume😂😂😂😂 nyege zitakuua vibaya sana ww