Nimemvunja moyo sana mke wangu, kama una chochote cha kuniambia au kunishauri wewe nishauri tu


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haaahaaaaa, kwanza nikupongoze kwa hizi harakati zako ngumu na za kipekee kwenye uso wa dunia, muite mkeo, mwambie achaguekubaki na wewe au kusepa, ila hakikisha unamla huyo arafiki yake ili kubalance udhalilishaji uliokupata, jiandae mkuu mkeo aki settle wakulungwa watamfira, kweli nakuambia
 
Kwani mzee baba umemuoa dem kama waziri wa elimu au? Why being that stubborn
 
Tusubiri tangazo la eid, yani leo ntapga shopping usiku, kesho napiga kijora chepesi tayari kukaa jikoni kukaangiza. Hatari sana
omba usikutwe na bwana pepsi tuuu Maana mfungo ushaisha kila kitu ruksaaaaa "no excuse"
 
Sasa kwanini uliamua kumtongoza rafiki yake? Huku ni kumkosea heshima mkeo, mwanzo amekusamehe umerudia tena kwa rafiki yake yule yule kana kwamba huko mitaani hamna wanawake wengine☹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…