Nimemwambia jamaa yangu hili suala akae alitafakari. Hajaelewa. Hajiulizi kwa nini Iwe hivi kwa Wakwe na Mashemeji zake.

Muache tu akahangaike na mzigo wake,.....
 
😂😂😂 Nimecheka kifala eti nusu mtu nusu zimwe 🤣
 
Ndoa siku hizi watu huwa wanaleta mambo ya ajabu sana. Ndoa ni swala la watu wawili wakihusisha familia zao.

Sio swala la kucomplicate na kuleta mambo mengi wakati resources haziruhusu.
 
usipende kuwa mshauri kwenye maswala ya mapenzi na vitu vinavyoendana na hisia za upendo utakuja umbuka vibaya sana sio kila unachoona kipo kama ulivyotafsiri kwenye ubongo wako kua pevuka komaa akili[emoji41]
 
Jamaa comedian sana ww nimecheka kifala sana
 
Wewe ni Mnafiki, M'mbeya na Mfitini....!!!
Wewe na wale Wachawi wanaologa Usiku ni sawa sawa...!

Una roho mbaya na Ulojawa na Wivu, Husda ikiwa ndani yako kwa kificho....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…