maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia yale yale.
Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli
Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"
Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".
Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa
Walikuepo wenzenu aaaya
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia yale yale.
Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli
Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"
Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".
Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa
Walikuepo wenzenu aaaya