maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
- Thread starter
- #21
Yaan tena me nigeuke dalali? We pambanaNipe namba ya mke wake nimalize mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan tena me nigeuke dalali? We pambanaNipe namba ya mke wake nimalize mchezo
Ndio washenzi, shake tena iyo hdWashenzi? Smh
Cheka Sana lakini omba yasikukuteWw jamaa chizii[emoji28][emoji28]umenchekesha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu mbona umekuwa harsh sana kwa ili jibu??Hapo ndo uthibitishe Kwamba , wanawake wachawi.
Mkewe ni mtu wa aina gani?Mbwa huyu dawa yake agongewe tu mkewe mwenyewe ana shobo bharaa
🤣 🤣 🤣 🤣Hapo ndo uthibitishe Kwamba , wanawake wachawi.
Acha wivu mkuuHaiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia yale yale
Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli
Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"
Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".
Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa
Walikuepo wenzenu aaaya
[emoji23][emoji1787][emoji23] huyo jamaa wako anaiga western culture .maana anaonekana mpenzi mzuri wa tamthiliya za kifilipino.wewe tulia amagewe kama ulivyo .sema wanakuja kuwa mabahalia professional hao ila mda huu awezi kukuelewa tena usikute anakesemelea kwa wife unashahuri pumba [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia yale yale
Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli
Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"
Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".
Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa
Walikuepo wenzenu aaaya
"MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI"Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife
Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia
Mwaka jana yakajirudia yale yale
Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli
Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"
Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".
Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa
Walikuepo wenzenu aaaya