Nimemwambia "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ugongewe mkeo ili akili ikue"

Nimemwambia "Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu ugongewe mkeo ili akili ikue"

Ni kama brother yangu mmoja wa kufikia/mjini. Usimwambie issue yoyete, kesho ukienda kwake shemeji anakupa mchongo wote. Huu ni ufala sana
 
*****,,, huyo jamaa umasikini upo nyuma yake... Mwanamke sio mtu wa kumsikiliza saana yaaani..

Japo sio wote
 
Mbona rahisi tu Kaolewe wewe ili akushirikishe na kutimiza deal zenu,
 
Kwani kumshirikisha mke ni dhambi, sometime mambo hayaendi bila kumshirikisha mke(ubavu wako) maana chochote kikikupana wakwanza kuulizwa ni mke, sema umlaumu mke anavyomshauri vibaya na pia kaa naye chini umuelimishe njia sahihi yakuishi na mwanamke,
 
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife

Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia

Mwaka jana yakajirudia yale yale

Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli

Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"

Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".

Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa

Walikuepo wenzenu aaaya
Acha wivu mkuu
 
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife

Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia

Mwaka jana yakajirudia yale yale

Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli

Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"

Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".

Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa

Walikuepo wenzenu aaaya
[emoji23][emoji1787][emoji23] huyo jamaa wako anaiga western culture .maana anaonekana mpenzi mzuri wa tamthiliya za kifilipino.wewe tulia amagewe kama ulivyo .sema wanakuja kuwa mabahalia professional hao ila mda huu awezi kukuelewa tena usikute anakesemelea kwa wife unashahuri pumba [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Haiwezekani mtu kila nikiongea nae jambo lolote la maendeleo jibu lake ngoja nimshirikishe wife

Mwaka juzi tulipanga mambo flani ya kujikwamua kiumchumi mchongo flani ukitulia hukosi hela za kutambia akanijibu ngoja aongee na mke wake jibu lilikoja eti wife kamkatalia

Mwaka jana yakajirudia yale yale

Mwaka huu kanianza yeye mwenyewe nikamuuliza "vp ushaongea na wife" ? akanijibu wife hana shida we jichange tufanye kweli

Kweli mbaba wa watu nimepambana huko leo namgusa mi nko fresh tunafanyaje sasa? Akanijibu "nimejaribu kuongea na wife ila kazingua yaani kagoma kabisa"

Nikakausha afu nikamtumia message isemayo hivi "NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU UGONGEWE MKEO AKILI IKUE".

Unajua hawa ma brother zetu bila kugongewa akili zinaganda sana yaani ye anaona mke wake ndo kila kitu utafkiri yeye ndo wakwanza kuoa

Walikuepo wenzenu aaaya
"MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI"

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mke ni mshauri na si mtoa maamuzi. Kumshirikisha mke kwenye jambo si vibaya ila si kila jambo anapaswa ajue, mwanaume kaumbwa kutake risk ambazo akimshirikisha mke lazima amrudishe tu nyuma.
 
Back
Top Bottom