Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Mtoa mada utakuwa na mapungufu mengi sana kwenye sekta ya mapenzi!mwanamke atajilengesha tena miezi ya mwanzo tu ya mapenzi kubeba mimba yako bila tabu endapo utakuwa muigizaji mzuri wa mambo kama haya!
1:Jifanye kumshirikisha hata kama unataka kununua taulo lako mwenyewe!mwambie baby kuna taulo hapa nimelipenda linauzwa buku 5 vipi ninunue ama niachane nalo?(atajiona ni mtu muhimu sana kwako)
2:Tafuta japo Elfu 50 mwambie baby hii nitunzie nikikaa nayo nitatumia (hata kama akikutapeli poa tu lkn akilini mwake atajijengea kuwa unamwamini sana)
3:Mkabidhi funguo za ghetto akae nazo siku kadhaa kisha baadae unaenda kuzipora kwa kusingizio kuwa umepoteza za kwako [emoji2042]
4:Mtambulishe kwa wajomba feki na mabinamu feki kibao!
Ukitumia mbinu aina hizi kubebewa mimba ni 100%
 
Mdada yuko sahihi.kabisa.
Mpaka unalazimisha mwanamke akuzalie kwanza ni dhahri .umejigundua unaweza kuwa tasa pia.kutembea koteeee na mabinti.hujawahi hata mpa mimba mmoja.
Na bado unawaita.wanawake tasa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani unaoa mimba au unaoa mke?
 
Nani alikudanganya kwanza utie mimba kisha ndiyo uoe? Unajua wanawake wangapi wamedanganywa kuhusu kubeba mimba ili waolewe kisha wakaachwa solemba baada ya kupata mimba na sasa ni single mothers!? Acha ujinga JIONGEZE!
 
Ki ukwel jamaa akil yake anaijua mwenyew
 
Sasa naona Umeanza kuvujisha siri
 
Nimejifunza kitu
 

Bora ata alivyokataa [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Mkuu agiza maji makubwa ya dasani nakuja kulipa
Mimi kama mtoa mada naomba iishie hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…