Nimemwambia nibebee Mimba ili nikuoe hataki

Mwisho umemaliza vzuri ila ulivyoanza umebugi
 
Mwisho umemaliza hovyo
 
Wewe kweli hujitambui hujui tatizo laweza kuwa kwako pia, ndoa na kupata Watoto/Mtoto ni majaliwa ya Mungu.
 
Umetumia lugha kali sana huku ukimtuhumu mama yake kwa kumpa elimu kuhusu kumbebea mimba mwanaume ambaye hajakuoa bado.

Mkuu kama umeshamtakia hivyo sahau kukubebea mimba, wanawake wanawekaga vitu moyoni haviwatoki kirahisi. Pole.
Kuwa na staha na adabu kwa wanawake uzuri mmoja kuna comment umesema wewe ni mtoto haramu. Nafasi bado unayo ya kubadilika na ukawa na maadili.
 
Mtoa post umekosa busara hivi kwa akili zako unazani mwanamke tu ndio huwa hazai,hata ww waweza kuwa huna uwezo wa kutungisha mimba kutokana na mbegu zako kuwa weak je mkeo akija kukuacha utafurahi
 
Duuuh bro hata ningekuwa mie ningekataa yaani unitumie then uni dump kisa sishiki mimba, we oa kama yaliyomo yamo utayakuta,

Kwenye ndoa kuna sehemu wanasema... Kwenye shida na raha...

Shida zenyewe ndokama hivoo kutopata mtoto.

I hope hio legacy yako ya kumpa ujauzito binti ndo aolewe, uitumie pia kwa mabinti zako.
 
Dah....mkuu hebu tupia kapasport size...isijekuwa unamlaumu bure...labda Ana wasiwasi na sura za watoto zitakavyokuwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kitu nimeshasikia baadhi ya mademu wakiapa kutokuzaa na waume zao kisa wana sura nzito, wako tayari watafute mchepuko handsome wambambikie mtoto mume
 
amekujibu vzr sema ttz ni ww kutaka kumfanya mwenzio kiwanda cha majaribio
 
amekujibu vzr sema ttz ni ww kutaka kumfanya mwenzio kiwanda cha majaribio
Sina maana hiyo mkuu, kiukweli inatulazimu tufanye hivyo kwani mmekuwa hamueleweki, naweza kutoa posa na matakataka mengine lakini unaambulia mgumba

Ila kupitia maoni ya wadau kuna kitu nimekinyaka
 
Sina maana hiyo mkuu, kiukweli inatulazimu tufanye hivyo kwani mmekuwa hamueleweki, naweza kutoa posa na matakataka mengine lakini unaambulia mgumba

Ila kupitia maoni ya wadau kuna kitu nimekinyaka
kuzaa ni majaliwa mkuu..
je sio ww ndio mgumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…