Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Kuna siku nimepita maeneo ya mlimani city nashangaa shangaa mji tukaona wadada fulani mbele yetu mmoja wao mchacheeeeeee anapepesuka tu nikaambiwa huyo ni Vanessa mdee aiseee hizi picha tunaziona kwenye TV na mitandaoni ..............ahahahahaaa
 
Kuna siku nimepita maeneo ya mlimani city nashangaa shangaa mji tukaona wadada fulani mbele yetu mmoja wao mchacheeeeeee anapepesuka tu nikaambiwa huyo ni Vanessa mdee aiseee hizi picha tunaziona kwenye TV na mitandaoni ..............ahahahahaaa
Vanezza ndo kituko kingine hapa nchini. Kwa mstuko huo Siku ukimuona Zamarrabbi ndo utahara kabisa aisse
 
Kuna siku nimepita maeneo ya mlimani city nashangaa shangaa mji tukaona wadada fulani mbele yetu mmoja wao mchacheeeeeee anapepesuka tu nikaambiwa huyo ni Vanessa mdee aiseee hizi picha tunaziona kwenye TV na mitandaoni ..............ahahahahaaa
Vanessa havutii jamani. Kale kaumbo kake na anavyovyaa. Ila akiwekwa mtandaoni utasema mwanamke mrembo si ndo huyu. Kazidi udunchu maana ule sio udogo tena.
 


Kumbe wenye macho ya vision 20/20 bado tupo.....mkuu umeongea point, yaani bila ma make up ya kilo 50 usoni Wema hana uzuri wowote na hajawahi kuwa mzuri hata kidogo, yuko kama Mama yake.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] uko sahihi kabisa ni libovu lipo kama papai linalotaka kuoza
 
Dah...haya mabeautycam yanawaingiza chaka wengi sana [emoji13] [emoji13]
 
Vanezza ndo kituko kingine hapa nchini. Kwa mstuko huo Siku ukimuona Zamarrabbi ndo utahara kabisa aisse
Hata mimi huwa sioni uzuri wa zama, na ile dental formula ndiyo kabisaa naona havutii.
 
Hata mimi huwa sioni uzuri wa zama, na ile dental formula ndiyo kabisaa naona havutii.
Shishi kule Belgium alituonyesha ndala tepetepe Leo hii insta anaonekana nyonyo kakamavu daah
 

Yupo kama amoeba hahahah
 
hahahahahahaha uzur wa sipenga sijawai ona koz hata kwa kwa my X afikii sumbuse dem wang wa sasahivi
 
Hv Madam huwa anajishughulisha na shughuli gani za kiuchumi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…