mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,275
Jokate mzuri sana! Yuko natural and Simple.Hapo umemuona wema ambaye kwenye tv anavutia kuliko wote, jiulize je shishi au snura au riyama au jokate au nandy au vanessa au daina au linnah live wapoje??
Bongo hamna star mzuri
Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo Leo nimemwona live Supermarket moja msasani.
Niseme wazi bila chuki, Wema hana uzuri hata wa demu wangu. Kajaa manyama kwenye mikono, makalio yame jaa jaa mpk unaona mabonde mabonde.
Yani nimevuta picha akivua nguo, hiyo michirizi sio ya Nchi hii, ni ramani ya kwenda Sauzi kabisa.
Kwenda kuangalia picha za IG na jinsi nilivyo muona nikaamini kweli wabongo tunabibiwa sana.
Ilibidi niulize tena kwa watu tofauti kwamba huyu ni Wema kweli?
Khaaaaa!!
Haina kweree!Nifanyie mpango basi
Duuuh....eti giant[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...umenikumbusha kitabu fulani hivi cha kitoto wakati niko chekechea " giant john"Kwangu namuona tu kama giant fulani hivi la kike. Sioni uzuri alionao sasa.
Tuna mitazamo tofauti.
wewe ndo umechelewa kweli, sio wote wanaotoka mikoani washamba, hata dar wapo washamba pamoja na kwamba wamezaliwa dar na kukulia dar.hao woote wanaomsifia wema wanatoka mikoani hata wakimuona kichuya au okwi barabarani wanajazani unasimama unauliza kuna nini hapa jamani watakwambia tunamuangalia wema au okwi looo tz washamba wengi
Furahi tu mamaa...Mean?...mi Wema?.... Unanifurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
bwangu bwangu muraaNdaza u know!
Acha chura kama inavyoonekana kwenye avatar yako [emoji4] [emoji4]Wema mzuri wewe acha fix
Ina nini tena hiyo miguu na wewe nae!!Hujaona miguu yake?