Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Anaumri gani?Ni mzuri yule dada sema umri imekuwa tatizo kwake...anazeeka so hawezi bakia na standard ile ile.
Ndio maisha aliyoyachagua labda akifikisha 40 atashtuka [emoji12] [emoji12]Hahahahaa. Ana lips nzuri kweli. Ni mzuri sema hajashtuka bado na maisha
Kama wale wanaoishi uswaz rangi tatu,tandale...nao wako mjini eeeh....[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mikoani wakati mwingine ni mjini zaidi ya mjini?hatuji Dar kupunguza populationwewe ndo umechelewa kweli, sio wote wanaotoka mikoani washamba, hata dar wapo washamba pamoja na kwamba wamezaliwa dar na kukulia dar.
Aisee, huyu dada ambae sifa zake zimejaa Tz na kuimbwa mara kwa mara kwenye miziki ya wanamziki wakubwa hapa bongo Leo nimemwona live Supermarket moja msasani.
Niseme wazi bila chuki, Wema hana uzuri hata wa demu wangu. Kajaa manyama kwenye mikono, makalio yame jaa jaa mpk unaona mabonde mabonde.
Yani nimevuta picha akivua nguo, hiyo michirizi sio ya Nchi hii, ni ramani ya kwenda Sauzi kabisa.
Kwenda kuangalia picha za IG na jinsi nilivyo muona nikaamini kweli wabongo tunabibiwa sana.
Ilibidi niulize tena kwa watu tofauti kwamba huyu ni Wema kweli?
Khaaaaa!!
Nadhani yeye mwenyewe Ni mkosoaji mzuri wa muumba wake, tuishie hapoHakuna binadamu alokamulika..afadhali yake yeye hata ana hyo miguu ya kusimamia wengine hawana kabisa miguu..msipende sana kukosoa kazi za mungu hakuna aliyekamilika na kabla hujafa hujaumbika
Oyooooooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakuita bavicha sasa hivii
Wema mzuri banaa
Kumbe kumshangaa MTU ni ushamba?hao woote wanaomsifia wema wanatoka mikoani hata wakimuona kichuya au okwi barabarani wanajazani unasimama unauliza kuna nini hapa jamani watakwambia tunamuangalia wema au okwi looo tz washamba wengi
SijuiAnaumri gani?
Una uhakika?Anazeeka vipi ndio kwanza ana miaka 22?
Mibange na miboo mingi vilevile inazeesha.Nisaidie kumwambia huyo...kile chombo hasa sema ndo hivyo mipombe, umri, stress
Mibange na miboo mingi vilevile inazeesha.Nisaidie kumwambia huyo...kile chombo hasa sema ndo hivyo mipombe, umri, stress
Ananyota ya kupendwa na vibwengoWema si mbaya ila anangoz lain sana sana ndo maana anaonekana ana mabonde mabonde ila kiukwel ananyota ya kupendwa haswa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hamna bwana anapendwa na watu wa aina zoteAnanyota ya kupendwa na vibwengo