Nimemwona Wema Sepetu, nimeshangaa kwanini tuna mu-Over rate sana

Ukimuona mtu kiuhalisia kama umezoea kumuona sana kwenye runinga na mitandao lazima uone kama ni tofauti jambo kubwa ni watu maarufu ni binadamu wa kawaida sana kama walivyo watu wanyumbani kwenu
Mfano mzuri kama ndugu yako(wa kike) akifung ndoa au send off we mwenyewe unamshangaa jinsi livyo badilika kwa kupodolewa na wasanii wapo hivyo
 
Ni wa kawaida sana Wema ni mrangi wa kawaida sana ila amecheza sana na media kujenga taswira kuuuubwa!
 
Ni Mnyamwezi wa Sikonge,Tabora.
Aha kumbe, sikulijua hilo, anyway Wema jina kubwa ni product ya Media hype wala sio uzuri wa sura au umbo, in fact ana sauti kama ya animated cartoons! Aaagh
 
Kweli kabisa wema ni MTU maarufu sio kwamba ni mzuri [HASHTAG]#huo[/HASHTAG] ndio ukweli mchungu kwa wengi#
 
Reactions: MTK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…