Nimemzaba kofi 'wife' sababu ya Prof.Lipumba. Kamaindi, karudi kwao Kinyerezi

[emoji122] mkuu umetoa somo zuri sana
Lakin kaka hao wake wa kuyajua
Hayo kwa wakat huu ni mtihani.
 
Kuna Binti wa ofisini ameachana na mchumba wake kwasababu jamaa anampenda sana Bashite anamlazimisha dada wa watu eti aseme na yeye anampenda Bashite na mbaya zaidi akawa anamkaripia asisome kabisa post za Mange kwenye Istagram.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Nn Utawaliwe Na Chama We Kama Co Cuf Kuna Shida Gan Ku Panik Asee Me Cjui Nikoje Maswala Ya Vyama Hayanaga Nafac Kwangu I Do No Why
 
Polee mkuu ... But ulishawai mpiga mkeo KWA kosa lolote?? Kama ujawai we kaa kimya atarudi mwenywe sababu nazani akija uku jf akiona jinsi kila MTU anatafuta mwenza kuna mpaka wazee ..single mama...na wenye gwegwe

sent from my iPhone 6
 
Yaani mtu uharibu ndoa yako kisa upumbavu wa siasa? Ujinga tu umewatawala!
 
nimecheka sana aic!hapa mtoa mada kilambimkwidu hajampiga kofi wife wala nn !alikua anataka kufikisha ujumbe kwa jamii kuwa hampendi kufa pumba za profeseri!nimecheka sana yaan! bahati mbaya wasaliti huwa WANADUMU SANA
Hapana sister, haya yanatokea laivu. Omba sana uyaskiage tu

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
matumizi mabaya ya mamlaka ya uanaume ndani ya ndoa..
Nilimnasa kibao kimasikhara...ye kantaftia sababu. Hua sipigi hata mdogoangu sijawah mpiga

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…