CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,572
- 1,379
Hihihihi weekends ndio tunatupa shida chini tunaweka mikono juu....
Dada angu utaweza haya yaan kama vile mwendo wa mateka....lol
Nialike siku moja birian jamaniiii maana kwa mapishi najua ndio mwalimu wao.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hahahahaha wala sijalala hlf nina booonge la kazi leo mbona itakua vituko vya kusinzia.Wacha wee. Kama nakuona vile mdogo wangu sijui umelala saa ngapi leo
Umejuaje mdogo karibu sana ukiwa tayari we niambie mana upande huo nao niko vizuri aisee.
Usijali karibu sana mdogo wangu.Hahahahaha wala sijalala hlf nina booonge la kazi leo mbona itakua vituko vya kusinzia.
Ndio maana nakupendea hapo tuuu dada ake,
Nitakwambia weekend flani hivi aiseee na mimi nipate japo chakula cha home (mama ntilie watanunajee) hahahaha
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Yaani kama ni kweli wanaishi hivi ni balaaMumy na maisha yake na mkewe pia ni comedy aisee.
Hahaaa. Umeona eee. Ila kuna uzi wa mrejesho sehemu eti mama mkwe kamwambia arudishiwe kibao ili yaishe.Yaani kama ni kweli wanaishi hivi ni balaa
Heee!basi ni ya kutungaHahaaa. Umeona eee. Ila kuna uzi wa mrejesho sehemu eti mama mkwe kamwambia arudishiwe kibao ili yaishe.
Yaani ndoa yao inavichekesho vya kuvunja mbavu.
Hata nami nimewaza hivyo.Heee!basi ni ya kutunga
Namshukuru Mungu niko vizuri kipenziHata nami nimewaza hivyo.
Mzima lakini pacha?
Mie mzima kabisa namshukuru allah.Namshukuru Mungu niko vizuri kipenzi
Hopefully nawe wa afya twinnie..
AsanteeMie mzima kabisa namshukuru allah.
Uwe na siku njema pacha.
Tayar mamkwe kaweka msimamo eti niende kwao nimfuate wife ila na wife nae anizabue kibao mbele yao ili yaishe. Yan ni mkorof sana mamkweHahahaaaaa kilambi.. unanivunja mbavu,umejifungia chumbani unaogopa gubu la mama mkwe au kuna kingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yan ni kama anantafta sababu tu. Kofi moja ndo limrudishe kwao kwel??Huyo nae anadeka kakofi tuu, minkajua umempiga ngwala
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app