Nimemzidi umri kwa miaka 12

Ya kutambshwa kwao sijui.and the wat mi hata nisingeyawaza
Yani mambo mengine hata hayataki kuujiuliza!
Ni kujilipua t
Akiwepo kukuchua miguu ikivimba poa asipokuwepo poa tuu!!

Angalia vizuri smartphone yako. Neno LA kwwnza hilo
 
Tena baby shawa ya nguvu, na hivi ujuzi bado uko hot hot now.

 

Itabidi Katibu atunze hii taarifa kwenye file,

cc Mwanyasi
 
Last edited by a moderator:
Mnachotakiwa kufanya ni kuwaeleza wazazi Wa mwanaume miaka below huyo ya mshkaji ili kupata ridhaa yao tu mengine mtamalizana wenyewe coz umri c tatizo now days.
 
Je, itakuaje ikiwa kaanza kukugegeda halafu mimba isishike haraka ikapita hata miaka miwili hiyo mimba haijaingia wala kutoka, vp utaendelea kumpa tu mpaka itakaposhika mimba, au? kumbuka kwa mwanamke kadiri umri unavyokwenda (hasa from 35 and above) ndio uwezo wa kuzaa unavyopungua. Na kwangu ndoa si mtoto bali watoto ni zawadi tu kutoka kwa Mungu ama matunda tu ya upendo wenu. Hilo ni angalizo give yourself some time to digest it. Above all, nimepata kujifunza kwamba mapenzi hayana umri wala hayana mwalimu.
 
Dadaaa kumbuka ile habari ya dada'etu wa kule mjengoni na ile ndoa yake iloota mbawa, inaweza ikatumika kama case study at least ya kutupa mwanga wa kuchambua nia na uelekeo wa huyo jamaa anaekuzengea. Ukiona imekaa poa basi all the best sisy!
 

  • Huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
    If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?

    Umemwambia awadanganye wazazi wake ila umetumia maneno mengine i.e. paraprhasing (tazama red colour)​




Sura haina mazoez mkuu, kama mkubwa lazima watamgundua tu
 
Kweli bongo nyoso, ulaya cleverly ana 21yrs kamuoa mke wa miaka 32 so umri sio tatizo, km mnaelewana+kupendana kila kitu kitakua kwenye mstari, jitahidi uzae nae ht km hatakuoa.
 
Au kama vipi yafuta mwanaume wa umri wako aliye single wapo wengi tu
 

Ana miaka 31, nikiongea nae ninaelewa ninaongea na mwanaume mwenye akili timamu na anajua anataka nini.
 
Mimi naona uzae kwanza mengine baadae kwani umebakiza mwaka mmoja kufikia uwezo wa mwanamke kuto kuzaa. Kama anataka kukuzalifurahia hiyo kwako itakuwa faraja kwani hushindwi kulea mtoto wako
 
mi nadhani umri sio tatizo kwa kuvunja amri ya 6 tu lkn kwa ndoa sikushauri muoane kwa sababu ukizeeka atakuchoka mtaachana
 
Kiafrika hilo ni tatizo kama wewe unakazi fanya tu mzae naye..!!
 
Umeona Kaizer?

Hivi dakika za majeruhi kuna nafasi tena ya kuremba remba na chenga za akina Zidane?

Ngoja sasa nimwambie bibi tuanze maandalizi ya kupokea kajukuu. Tena wakiwa mapacha itakuwa special hat trick!

Hivi kwa imani ya Sarai na Ibrahimu babu na bibi hawawezi kuinuliwa uzao?
 

Well done mkuu,
Amini nawaambieni hakuna ushauri mkubwa zaidi ya huu,
Hapa ndipo jibu lake sahihi na lenye mashiko linapatikana.
 
Umeona Kaizer?

Hivi dakika za majeruhi kuna nafasi tena ya kuremba remba na chenga za akina Zidane?

Ngoja sasa nimwambie bibi tuanze maandalizi ya kupokea kajukuu. Tena wakiwa mapacha itakuwa special hat trick!

Mi nimesoma nikaishia kujishangalia tu......
labda kama hana uwezo wa kutunza watoto peke yake incase mkaka akiingia mitini......
If I were her ningewasoma na kuwaelewa sana babu yetu Dark City na rafiki yangu The Boss (salama lakini)
Rafiki Kaizer endelea kutoa somo, kitaeleweka tu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…