Nimemzidi umri kwa miaka 12

Nimemzidi umri kwa miaka 12

Ya kutambshwa kwao sijui.and the wat mi hata nisingeyawaza
Yani mambo mengine hata hayataki kuujiuliza!
Ni kujilipua t
Akiwepo kukuchua miguu ikivimba poa asipokuwepo poa tuu!!

Angalia vizuri smartphone yako. Neno LA kwwnza hilo
 
Tena baby shawa ya nguvu, na hivi ujuzi bado uko hot hot now.

Sikia bi shosti!!
ZaaZaa​
We mpk.hapo kwani huhitaji mtoto,bebaaa mimba zaaa kwa ajili yako!
Watu humu wanakusgauri oh ukizaa atakuacha sijui kwanini hujaolewa ungekuja na havari za umezaa na mume wa mtu yangekuwa gaya haya!
Zaa tu sweetie!!
Akikuoa poa asipokuoa poa!!
Kwanza bora asikuoe ni kama he is not proud of u!!!
Mfanye tu sperm donor!!!
Mimi, Kongosho , Kaunga na King'asti tutakufanyia baby shower
 
Hii habari nzito babu.
Najaribu kuutafakari tofauti ya umri, japo kwao inaweza kuwa si tatizo, lakini familia za kibongo bwana wazazi mawifi na mashemeji wanaweza kulishadadia hilo hadi kisieleweke.
Niliwahi kushuhudia familia moja wana mwambia kaka yao, unataka kutuletea wifi bibi?

Simshauri kuzaaa, unless anataka mtoto wake wa kumlea mwenyewe hapo sawa. Lakini kuzaa kwa ajili ya kutegea ndoa ikija kutokea tofauti ataumia sana.

Unless wawe na misimamo thabiti na maamuzi yao binanfi regardless pressure za family.

Umri ni namba tu.

cc: Sky Eclat

Babu ukisikia kuna mgane huko ustaafuni kwenu anataka mke uniambie 😛eep:😛eep:

Itabidi Katibu atunze hii taarifa kwenye file,

cc Mwanyasi
 
Last edited by a moderator:
Mnachotakiwa kufanya ni kuwaeleza wazazi Wa mwanaume miaka below huyo ya mshkaji ili kupata ridhaa yao tu mengine mtamalizana wenyewe coz umri c tatizo now days.
 
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika Taasisi ya Serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja.

Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulibadilishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula.

Semina iliisha Ijumaa na tuliagwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.

Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi nina miaka mingapi?

Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alishtuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka.

Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je nina mtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye ana miaka 31, anakazi nzuri sana.

Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwa sababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake.

Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza ana miaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao.

Ushauri jamani
Je, itakuaje ikiwa kaanza kukugegeda halafu mimba isishike haraka ikapita hata miaka miwili hiyo mimba haijaingia wala kutoka, vp utaendelea kumpa tu mpaka itakaposhika mimba, au? kumbuka kwa mwanamke kadiri umri unavyokwenda (hasa from 35 and above) ndio uwezo wa kuzaa unavyopungua. Na kwangu ndoa si mtoto bali watoto ni zawadi tu kutoka kwa Mungu ama matunda tu ya upendo wenu. Hilo ni angalizo give yourself some time to digest it. Above all, nimepata kujifunza kwamba mapenzi hayana umri wala hayana mwalimu.
 
Dadaaa kumbuka ile habari ya dada'etu wa kule mjengoni na ile ndoa yake iloota mbawa, inaweza ikatumika kama case study at least ya kutupa mwanga wa kuchambua nia na uelekeo wa huyo jamaa anaekuzengea. Ukiona imekaa poa basi all the best sisy!
 

  • Huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
    If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?

    Umemwambia awadanganye wazazi wake ila umetumia maneno mengine i.e. paraprhasing (tazama red colour)​




Sura haina mazoez mkuu, kama mkubwa lazima watamgundua tu
 
Kweli bongo nyoso, ulaya cleverly ana 21yrs kamuoa mke wa miaka 32 so umri sio tatizo, km mnaelewana+kupendana kila kitu kitakua kwenye mstari, jitahidi uzae nae ht km hatakuoa.
 
Au kama vipi yafuta mwanaume wa umri wako aliye single wapo wengi tu
 
Je, itakuaje ikiwa kaanza kukugegeda halafu mimba isishike haraka ikapita hata miaka miwili hiyo mimba haijaingia wala kutoka, vp utaendelea kumpa tu mpaka itakaposhika mimba, au? kumbuka kwa mwanamke kadiri umri unavyokwenda (hasa from 35 and above) ndio uwezo wa kuzaa unavyopungua. Na kwangu ndoa si mtoto bali watoto ni zawadi tu kutoka kwa Mungu ama matunda tu ya upendo wenu. Hilo ni angalizo give yourself some time to digest it. Above all, nimepata kujifunza kwamba mapenzi hayana umri wala hayana mwalimu.

Ana miaka 31, nikiongea nae ninaelewa ninaongea na mwanaume mwenye akili timamu na anajua anataka nini.
 
Mimi naona uzae kwanza mengine baadae kwani umebakiza mwaka mmoja kufikia uwezo wa mwanamke kuto kuzaa. Kama anataka kukuzalifurahia hiyo kwako itakuwa faraja kwani hushindwi kulea mtoto wako
 
mi nadhani umri sio tatizo kwa kuvunja amri ya 6 tu lkn kwa ndoa sikushauri muoane kwa sababu ukizeeka atakuchoka mtaachana
 
Umeona Kaizer?

Hivi dakika za majeruhi kuna nafasi tena ya kuremba remba na chenga za akina Zidane?

Ngoja sasa nimwambie bibi tuanze maandalizi ya kupokea kajukuu. Tena wakiwa mapacha itakuwa special hat trick!

Hivi kwa imani ya Sarai na Ibrahimu babu na bibi hawawezi kuinuliwa uzao?
 
Duh!! hawa wanaokushauri ni watoto wako ujue.
wengi wao bado wana muda wa kutosha kumsubiri huyo Mungu awaletee mume mwema.
yawezekana wewe ndio Mungu kakuletea hivyo.

Hata ukizaa na huyo jamaa akakuacha haina shida utabaki na mtoto ambaye atakupa faraja ukizeeka.

mwanamke kujidai gambe ujue kuna ukomo. kuna umri utahitaji wa kukufariji hupati, watoto wa ndugu zako umelea wamesoma wamekuhama wana kwao.
ndugu wanakusimanga na huna msaada.

utaishia kufuga mbwa na paka na kulala nao chumbani.
bora hata ukiwa na mtoto mmoja unaweza lazimisha hata akuletee mjukuu umlee. hao wa ndugu hawatakuletea hata mjukuu kukusalimia.

wadada ukiona wakati unaishia na jamaa wamekuzingua we zaa tu hata upate mtoto wa kukupa faraja. tafuta hata wa kwenye sperm bank.
hata kusuguana na wenzio kuna mwisho wake. lesbian wanaongezeka kila leo na style mpya we na uzee wako watakuhama

Well done mkuu,
Amini nawaambieni hakuna ushauri mkubwa zaidi ya huu,
Hapa ndipo jibu lake sahihi na lenye mashiko linapatikana.
 
Umeona Kaizer?

Hivi dakika za majeruhi kuna nafasi tena ya kuremba remba na chenga za akina Zidane?

Ngoja sasa nimwambie bibi tuanze maandalizi ya kupokea kajukuu. Tena wakiwa mapacha itakuwa special hat trick!

Mi nimesoma nikaishia kujishangalia tu......
labda kama hana uwezo wa kutunza watoto peke yake incase mkaka akiingia mitini......
If I were her ningewasoma na kuwaelewa sana babu yetu Dark City na rafiki yangu The Boss (salama lakini)
Rafiki Kaizer endelea kutoa somo, kitaeleweka tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom