Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaweza kuoana kwasasa, ila kubali tu kesho kutwa utakapokua fifty yrs utaletewa dogo dogo ama kukimbiwa na kuambiwa kua wewe mzee na kusema alikosea kukuoa. Blive me kwa sasa kakutamani sana kwa umri uo simply bcoz hamjaishi pamoja kama husband and wife. Ukimpa amege tu na mkikaa kidogo ataanza iyo sababu ya umri,na tofauti ya umri wenu itakua silaha yake kukuadhibu.
Ushauri : Tafuta age mate wako aliyekwisha tumia ujana wake na kutulia, ambaye kwasasa hana mke, 42-50yrs uko labda ita work out,..........But imekuaje umechelewa hivi?jua limezama dada yangu dah. Anyway All the Best
Mkuu Upo?
Ulikuwa Kimya Sana
Yaani Watu Kwenye Hii Thread Wanashangaa Huyu Dada Kuwa Na Umri Mkubwa Wakat
Haya Ni Mambo Ya Kawaida Sana
Ajaribu Kuwa Makini Shida Kubwa Watu Hupenda Slope Mno
In a way tulikuwa tunaongea akaniambia ukikutana na mama yangu wakati unadamu yake mikononi hatakuwa na jinsi, aliongea kama utani lakini ilikuwa sentensi nzito
makubwa mpaka unafikia miaka 44 huna mtoto.!! menstration cycle inakoma kuanzia miaka 45-50.! huyo kijana unampotezea muda tu mamangu.!!
Sikupenda kuchelewa, nilimsubiri mtu ambae mwisho wa yote alikutana na mwingine akaoa ila yote ni mipango ya Mola.
Sikupenda kuchelewa, nilimsubiri mtu ambae mwisho wa yote alikutana na mwingine akaoa ila yote ni mipango ya Mola.
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?
nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza
na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?
nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto
tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....
Akikatumia hako ka-boy kama dume la mbegu ni bora kuliko IVF! Vinginevyo kajamaa kataongeza idadi na kusepa!
Sikupenda kuchelewa, nilimsubiri mtu ambae mwisho wa yote alikutana na mwingine akaoa ila yote ni mipango ya Mola.
Sikupenda kuchelewa, nilimsubiri mtu ambae mwisho wa yote alikutana na mwingine akaoa ila yote ni mipango ya Mola.
She needs him more than he needs her...
hana choice..... her .biological clock is ticking so fast
duh!! hawa wanaokushauri ni watoto wako ujue.
wengi wao bado wana muda wa kutosha kumsubiri huyo Mungu awaletee mume mwema.
yawezekana wewe ndio Mungu kakuletea hivyo.
Hata ukizaa na huyo jamaa akakuacha haina shida utabaki na mtoto ambaye atakupa faraja ukizeeka.
mwanamke kujidai gambe ujue kuna ukomo. kuna umri utahitaji wa kukufariji hupati, watoto wa ndugu zako umelea wamesoma wamekuhama wana kwao.
ndugu wanakusimanga na huna msaada.
utaishia kufuga mbwa na paka na kulala nao chumbani.
bora hata ukiwa na mtoto mmoja unaweza lazimisha hata akuletee mjukuu umlee. hao wa ndugu hawatakuletea hata mjukuu kukusalimia.
wadada ukiona wakati unaishia na jamaa wamekuzingua we zaa tu hata upate mtoto wa kukupa faraja. tafuta hata wa kwenye sperm bank.
hata kusuguana na wenzio kuna mwisho wake. lesbian wanaongezeka kila leo na style mpya we na uzee wako watakuhama