Nimemzidi umri kwa miaka 12

Nimemzidi umri kwa miaka 12

Miaka 31 kwa 44 siyo mbaya hata kidogo. Kwa sababu wote mpo kwenye utu uzima. Na miaka siyo tatizo sana, tatizo pia linakuja kwenye umbo. Unaweza kuwa na miaka midogo umbo la kizee ni mbaya. Au ukawa na miaka mingi ila umbo la kitoto/makamu. Kwa miaka yote hiyo je maumbo yenu yanaendana au? Kwa umri wenu wote je mnatarajia kuwa na familia ya watoto wangapi kwa muda wa kipindi gani? kuna vingi vya kuzingatia kabla ya kusema Tunapendana sana. Kupendana sana haitoshi...

You nailed it!!! Yeye ni mrefu, ni mtu wa mazoezi lakini akiacha anakuwa na nyama uzembe. Mimi ni 5.6ft tall. Ninatembea one hour morning and another hour evening. Kwakweli magauni yananipendeza sijisifu. Kingine ninampa heshima sana kama mwanaume, ninamsikiliza. e.g. Last week nilikuwa kwenyemkutano Ijumaa wadada niliokuwa nao walitaka tuunganishe weekend huku kwasababu ni kando ya bahari na upepo ni mzuri. Aliniambia nirudi kwangu kama mkutano umekwisha, nilipanda ndege Ijumaa na sasa niko kwangu.
 
Mwambie akuoe tu maana mbona muhammad alioa mwanamke ambae ana umri wa miaka 40.
 
Aaah wapi.....mimi nilipokuwa na miaka 27 wewe hata kusoma ulikuwa bado hujajua. Eli79 hii sio Id yako nyingine kweli?


Mmh..rafiki, kweli? Niwe na ID mbili kwa natafuta nini jf! Hii moja inanitosha sana, dogo kapatia umri nini??
 
Last edited by a moderator:
Yeye akiwa na umri wa miaka 25 Muhammad , na hadija akiwa na miaka 40
 
U love him because of the exposure and his smartness, kwa kiswahili tunasema umemtamani! Wacha aendelee kuwa boyfriend wako lakinj si kumfanya awe mumeo, unless u'll regret!🙄

He made the first move, nimerespond to his move, pia ninaenjoy kuongea nae.
 
dada mpaka sa8 usiku mnaongea tuu live bila chenga wala umeme kukatikakatika??
ushauri....wewe kama mnapendana bebaneni tu muoane tena kwa shangwe zote! wambie unamiaka28! kwani wakwe watadai cheti cha kuzaliwa???

Hahahaa, nimecheka sana.
 
Hivi miaka 44 wanazaa bila shida?

nafikiri ana wasiwasi akikuoa atapata watoto?
ndo maana anataka mzae kwanza

na wewe ukuendelea kusubiri utazaa na mika 50?

nafikiri huna choice...zaa nae hata asipokuoa angalau utakua na mtoto

tena zaa nae watoto wawili kwa haraka haraka halafu muache mwenyewe aamue kukuoa au kutokuoa.....

Hapa inabidi afikirie mara 2 mbili!
 
Umri wangu ni miaka 44, sijaolewa na sina mtoto. Ninafanya kazi katika taasisi ya serikali, mwanzoni mwa mwaka huu nilipelekwa semina kwa wiki moja. Tukiwa kule kiti changu kilikuwa karibu na kiti cha kijana mmoja, mrefu, nadhifu, mcheshi. Tulifikia hoteli moja, baada ya siku tatu tulishabadishana number za simu maana tuliweza kuelekezana migahawa mizuri kwa chakula. Semina iliisha Ijumaa na tuligwa kwa tafrija baada ya hapo kila mtu aliekea alikotoka.

Mimi na kijana tuliendelea kuwasiliana kwenye whatsApp, imefikia katika hali kuwa, nikiamka asubuhi lazima tusalimiane, tunabadishana picha za lunch, usiku ndio kabisa tunachat masaa mawili-matatu. Ilitokea nikamuuliza hivi unahisi mimi ninamiaka mingapi? Akajibu 28, nilicheka, nikaamua kukaa kimya. Moyo wangu umempenda sana, sasa lakini niliamua kumueleza ukweli. Alistuka na kukaa kimya, nikajua basi ameshaondoka. Kesho yake alinipigia simu akaniuliza kama nilishawahi kuolewa, je ninamtoto. Akajibu umri kwake sio tatizo. Yeye anamiaka 31, anakazi nzuri sana.


Weekend iliyopita alikuja kunitembelea, alifika Jumamosi asubuhi, kwasababu bado tunafahamiana alichukua hoteli mjini, alikuja kwangu jioni, tulikaa tukaongea mpaka saa nane usiku, akaondoka kurudi hotelini kwake, kesho yake alirudi kwake. Dada yangu mkubwa ambae mtoto wake wa kwanza anamiaka 29 ameniambia nimuache kijana kwani ni sawa na mwanangu!! Kijana mwenyewe amekiri kuwa kwao wazazi wataleta zengwe, amenishauri tuzae kwanza kabla hajanipeleka kwao. Ushauri jamani.
ulimpa papuchi mara ngapi? dogo kanogewa
 
Kuna ubaya gani?

Hope hutaongelea habari ya kutenda dhambi kwani hapa kuna mtu keshamtamani mtoto wa mwenzie!


Hilo la dhambi siwezi kulizumgumzia. Naamini "wameshajuana", nilitaka kujua kama ataridhika kuwa na faraja ya mtoto endapo huyo boyfriend ayabadili mawazo baadae.
 
Siwezi kusema ni tapeli au la, nilimuuliza sababu za yeye kutokuwa na girlfriend akanijibu vizuri tu kuwa kwa muda mrefu alikuwa nje ya nchi kikazi so long distant relationship haikuwork out.

Nakushauri zaa nae huyo kijana...
Hutakuja kujuta...
Ukiendelea kupoteza muda umri unaenda na utakosa hata wa kukufariji...
 
Story zako nyingi ni za kutunga,
Lakini kama ni kweli, zaa tu huna option mama
Mana 44 ki utaalamu pia inaeza kukuletea complications wakati wa kuzaa
ssa kama unaendelelea kujiuliza kumbuka kuwa SIKU HAZIGANDI
 
You nailed it!!! Yeye ni mrefu, ni mtu wa mazoezi lakini akiacha anakuwa na nyama uzembe. Mimi ni 5.6ft tall. Ninatembea one hour morning and another hour evening. Kwakweli magauni yananipendeza sijisifu. Kingine ninampa heshima sana kama mwanaume, ninamsikiliza. e.g. Last week nilikuwa kwenyemkutano Ijumaa wadada niliokuwa nao walitaka tuunganishe weekend huku kwasababu ni kando ya bahari na upepo ni mzuri. Aliniambia nirudi kwangu kama mkutano umekwisha, nilipanda ndege Ijumaa na sasa niko kwangu.


Unakaribia 6ft. Siyo mbaya. Yeye ni mrefu pia siyo mbaya. Unampa heshima zote ni vizuri sana. Je matarajio yako/yenu kwenye kupata watoto ni wangapi na kwa kipindi cha muda gani? Mna mikakati gani kwa sababu ki umri ndiyo mshasogea tena haswa wewe mwanamke. Kwa mwanaume bado.
 
Back
Top Bottom