Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Ndo apo sasa,
Nadhani priority ya dada iwe kuzaa mana umri ushaenda sana hata akiachwa mtoto anaye,
Dada make ur decisions fast,
Most men tend to marry downwards
Ur at a disadvantage,
Yanii ningeweza ngekupa mimba hata mim sema wa kike,if i were u ingefika ata 30 tu ningekua single mother
Kwa kweli nimeogopa, this woman jadi sasa hazajaa na ndio anadikiria kuzaa nimeishiwa nguvu, nashndwa kuelewa hakupata mtu wa kumpa ujauzito miaka yote hiyo au alikua too selective au alikua hatongozwi?
Mimi namshauri apate mtoto tu mambo ya ndoa aachane nayo maanna zaidi ya nusu ya maisha yake duniani kayatumia akiwa single sidhani hiyo robo iliyobaki atashndwa kuishi peke yake.
Atafte mtoto aje awe mfariji wake kama atakua hana matatizo ya uzazi ila 44 ni mbali sana aisee.