, huu ushauri wa bure tu nakupa!
Kwani wangapi wamezaa na wameachwa?.
Km kweli yupo serious na ni mpango wa Mungu itakua tu dada yangu!!...
Huyo Dada ako nae ataingiliaje mapenzi ,hajui ni makubaliano ya watu 2!
.sorry,huyo Dada ako kaolewa?
Huyo kaka anasema kwao wataleta zengwe,kwahiyo ataenda kuwatangazia ndugu zake kuwa umemzidi?..
If so,hayupo tayari kukudefend huko kwao!?
Dada Yangu muombe Mungu,ukipata amani moyoni jua ndie ,na km ndie hakutakuwa na chochote kitakachozuia,means kila mmoja wenu atakua tayari kudefen penzi lenu!!
Nb:naona anataka kujua km unaweza kuzaa.
Mtazamo wangu tu!!!