Kaka girls you have to know that woman/girls are too complicated,, so ukiwafatilia sana mambo yao utachanganyikiwa, lazima uwe na msimamo in respect to manhood,,
as long sijakuoa au hata hatujawa wachumba rasmi than dating am still a bachelor, sababu hata job my file kwa HR dept inaonesha hivyo, i believe my car are disorganised thn yours hadi b mkubwa na dada zangu wanaliita jalala he he he, but i enjoy being in it sababu siti ya nyuma is like my kabati he he he, kitu vitabu na madesa yamejaa, sometimes mafaili ya ofisin, makoti na mengineyo na my girlfriend hayupo responsible kulipanga as sijamuoa na kila mtu anakaa kwao na hata nikiwa nae sitaacha kujiita bachelor until tukipanda church,,,
Pia wadada nawaomba mtuelewe kuwa tukiwa kwenye relation haimaanishi lazima nioane as tupo kwenye kufahamiana kama tunaendana au la, so msifosi stage ambayo haijafikia muda wake, mda wa uchumba na kujibadilisha status from bachelor to married ukifika tutabadilika,,, sasa mdada mwenyewe nimekutamani kwa shepu yako ya kufa mtu unataka nibadilishe status unajuaje labda huyo aliepewa lifti ndo atakuja kuwa wife mbeleni,,,
kaka your right ulivyomjibu, ur still a bachelor.. akileta pozi sana jitoe mda wa kubembelezana sana haupo siku hizi, watu wako kwenye resi za kusaka maisha bora ye anataka kupoteza muda wako kumbembeleza,, kwa umri huu nilionao sasa hivi i only have time kubembeleza kupata tender au price negotiaon for my business but not for a lady kwa kosa lisilo na mwelekeo,, kwa imani yangu naamini i can loose alot of money chasing woman but i culd never loose a woman chasing money as long as nampatia mahitaji yote muhimu, but muda wa kubembelezana sana kwa mambo ya kijinga sina,, labda nikifika 30 nitaweza but kwa sasa ni baadae sana, im out, ngoja nikatafute hela nimnunulie my love tablet maana laptop zimepitwa na wakati he he he