Nimenuniwa na mpenzi wangu

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
 
Njoo Pm tuchat acha na huyo mwanaume wako mwenye tabia za kike
 
Ni mapenzi mapya?
Kanuni yangu...nampenda anipendaye....ukileta kiburi ndio kwaheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…