Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Siku hizi changamoto ni nyingi Mjukuu, unaweza kusema usubiri hadi Ndoa ukaja kuuziwa Mbuzi kwenye gunia

Bora kupima kina cha Maji kabla hujayaingia
Babu hatimaye mpenzi Wangu kanipigia simu kumbe aliibiwa simu
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Hakupendi huyo
 
Hakuna mwanamke mwenye papuchi tamu akanuniwa..itakua papuchi yako ina shida flani flani.
 
Back
Top Bottom