Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zeee la hovyo!Tatizo mtoa mada ameendelea kubaki na msimamo wa kutotoa gemu hadi Ndoa, hapo ndiyo changamoto yao ilipo ๐
Mi nadeal na wa range hii 25-30Wakati ndio size yako hao๐โโ๏ธ
Karibu nyumbani totoo.Nkuone bas ukiwa na mjukuu wako
Watoto wenzio๐คฃMi nadeal na wa range hii 25-30
Una utani wa ngumi kbs huuWatoto wenzio๐คฃ
LocationKaribu nyumbani totoo.
Hapa kwenye mti mkubwa, karibu na kwa mzee Musa.Location
Haya maisha hayaEmbu mpelekee mbususu tuone kama ataendelea kukasirika
Una akili sana binti yangu we ni hazina na tunu ya taifa hiliMi kuna siku ikabidi nilale uchi wa mnyama kumtega
Natokea huku Kwa Lyimo napenya ubavu ubavu dkk kumi nyingi takua hapoHapa kwenye mti mkubwa, karibu na kwa mzee Musa.
ewaaaa nyie ndio wanawake bwana, msamaa ni kumpea mume wako mbususus. baada ya hapo sasa ndio mnaanza lakini mama dorothy unajua usirudie tena kunikwaza sasa mammy. imeisha hiyoHaya maisha haya
Kuna wanaume wanajua kununa
Mi kuna siku ikabidi nilale uchi wa mnyama kumtega
Wakati siwez laka bila pajama na blanket
Ni mtu ninayesikia baridi mda wote
Ila alikula vitu
Hahaha yaaniewaaaa nyie ndio wanawake bwana, msamaa ni kumpea mume wako mbususus. baada ya hapo sasa ndio mnaanza lakini mama dorothy unajua usirudie tena kunikwaza sasa mammy. imeisha hiyo
HahahahUna akili sana binti yangu we ni hazina na tunu ya taifa hili
na hamna mwanaume rijali anaweza chomoa hapo. alafu sasa raha yake usibuhi bby akuandalie na chai loh!!!Hahaha yaani
After game kila kitu kimeisha
Mi sina nguvu ya kumnununia wala siwez
Bishana nikiona nimeshindwa silaha yangu ya akiba ndio hiyo
Hahahah๐๐๐na hamna mwanaume rijali anaweza chomoa hapo. alafu sasa raha yake usibuhi bby akuandalie na chai loh!!!
ukifika kwenye mihangaiko yako unamtumia bby meseji tamu alafu na kahela ka kwenda kufanya shopping.
aisee sie wenye ndoa tunaenjoy nyie
kuna fala wao mmoja nasikia kajirest in peace kwa sababu ya nyetooo ๐ ๐ ๐ ๐Hahahah๐๐๐
Ngoja kataa ndoa waione