Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
-
- #421
π€£ππππ€£Nkishaolewa ndo ntafanya IvoHaya maisha haya
Kuna wanaume wanajua kununa
Mi kuna siku ikabidi nilale uchi wa mnyama kumtega
Wakati siwez laka bila pajama na blanket
Ni mtu ninayesikia baridi mda wote
Ila alikula vitu
Baada ya Kula mnuno uliendelea au aliachaHaya maisha haya
Kuna wanaume wanajua kununa
Mi kuna siku ikabidi nilale uchi wa mnyama kumtega
Wakati siwez laka bila pajama na blanket
Ni mtu ninayesikia baridi mda wote
Ila alikula vitu
Kwa hii Gen Z ya Sasa hyo kitu ya mpk ndoa SI applicable tenaTatizo mtoa mada ameendelea kubaki na msimamo wa kutotoa gemu hadi Ndoa, hapo ndiyo changamoto yao ilipo π
Ajiongeze tu kwakweli, kwanza gentlemen huwa hawanuni. Kuna wanaume wananuna mademu wanasubiri.Mzamia meli hawezi akawa baharia.
Wewe sio wa maana kwake kwasasa.
Hauna umuhimu kama unavyo fikiri.
Jiongeze
Pengine kagombana na mpenzi wake wewe unaendelea kujiuliza umemkosea nini.πHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Umeongea kitu cha muhimu sana ambacho wengi wao hawakijui.Ni ngumu sana Mwanaume kumnunia mpenzi wake bila mwanamke huyo kua kiburi na jeuri. Ujeuri dharau au kiburi havinaga maelezo maana ni ngumu kupindua ikawa kinyume chake.
Tofauti na hapo hana Ujasiri wa kukumiliki
Hujaelewa nime sema sio big issue hadi wanyimane,kwani hicho ni kiburudisho.mean kunyima unanyima iliiweje wakati ni kiburudisho.ukinyima(ndoa) unaachwa....usiwe unaharaka ya kureply kama hujaelewa.Wazibe hilo kojolea afu uishi nae kwa kuona kwamba ngono SI issue....kwenye ndoa ngono Ina zaid ya asilimia 70..
Kama ni hivyo kula chuma hicho.Ndiyo sikatai nikweli
Amakweli Dunia imebadilika....Kama ni hivyo kula chuma hicho.
Uko kama Mimi dear....bado navutia kasiSipendi mwanaume mwenye mood na kasirani anakuwa kama she....binafsi nataka somebody to give me attention sasa kama ananuna mi itakuwaje?piga chini mbuzi hiyo
ok pole basi siku akikujambia uje hapa kutuelezaHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini. Last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo nini hakunijibu. Mpaka dk hii kimya. Na social media anaingia vizuri tu. Na Mimi nimeamua nikae kimya. Ila naumia sana.
Wazee wa mipira iliyokufq πPole sana uko wapi muda huu ? Embu njoo hapa cricket tuone hili suala tunalitatua vipi maana hata Mimi sijapenda kabisa tabia ya shemeji
Japo kama unaabudu Makanisa ya kiroho, haupewi gemu hadi Ndoa.Kwa hii Gen Z ya Sasa hyo kitu ya mpk ndoa SI applicable tena
Siku hizi changamoto ni nyingi Mjukuu, unaweza kusema usubiri hadi Ndoa ukaja kuuziwa Mbuzi kwenye guniaZeee la hovyo!
Uzee ni hatua muda wako ukifika hautasema tena haya maneno maana itakuwa katika ligi moja na mimWazee wa mipira iliyokufq π
Aaaaah tumekwisha kabisa kama hawa ndio wazee wa siku hizi!Siku hizi changamoto ni nyingi Mjukuu, unaweza kusema usubiri hadi Ndoa ukaja kuuziwa Mbuzi kwenye gunia
Bora kupima kina cha Maji kabla hujayaingia