Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Leo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo fanta gani ipo kama peps. Tuanzie hpo kwanza ili tukusaidieLeo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
View attachment 2089629
View attachment 2089633
Hupati kitu lazima uinywe na uonyeshe umepata madhara kiafya. Soma case ya Donogue versus Stevenson (1932) kuhusu doctrine of negligenceLeo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
View attachment 2089629
View attachment 2089633
Uko ukanda wa ziwa au wapi..huijui fanta puple pupleHyo fanta gani ipo kama peps. Tuanzie hpo kwanza ili tukusaidie
Kwa nini uinunue wakati inaonyesha Ina shida?Leo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
View attachment 2089629
View attachment 2089633
😄😄 ana bifu na wauza soda sijui katumwaPenye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka...www.jamiiforums.com
Mwambie muuzaji akupe nyingine. Tafuta shughuli ya kukupatia hela hayo mawazo ni sawa na kuota umeokota hela.Leo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
View attachment 2089629
View attachment 2089633
Jibu zuri kabisa. Muuzaji atawarudishia coca wakija.Mwambie muuzaji akupe nyingine. Tafuta shughuli ya kukupatia hela hayo mawazo ni sawa na kuota umeokota hela.
Soda ni dopePenye nia pana njia: Ni wiki ya 5 sasa sijatia soda mdomoni, kumbe inawezakana kabisa
Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka...www.jamiiforums.com
Hapo ndo pakutokea chukua zile clip za fanta, mirinda na Pepsi unganisha na hyo tafuta mtu wa ubora na uhakiki wa Bidhaa kwa mteja kutoka Coca-Cola international muulizie hiyo imekaaje wanaakikisha vp afya za wateja zitakuwa salama?Leo nimenunua soda ndani kuna karatasi, kitu ambacho ni hatari kwa afya ya mnywaji! Je nikiwashtaki nitalipwa? JF wanasheria naombeni msaada wenu...
View attachment 2089629
View attachment 2089633
Wao watamdai fidia kwa kuchukua soda yao kuitia uchafu na kusambaza picha mtandaoniJela inakuita. Wako tayari kuwalipa mamilioni wanasheria kuliko kukubali kwamba Ni yao.
Wakikubali kwamba Ni kosa Lao soko litaporomoka.