Nimenusurika kuambukizwa HIV usiku wa leo, nimekoma

Nimenusurika kuambukizwa HIV usiku wa leo, nimekoma

Hapo kuna walakini, mtu hamjaonana siku kibao na amekualika kwake kwa ajili ya 'game' halafu eti mlale naye mpaka asubuhi kitanda kimoja asitake mchezo?....... hii chai!
Umekataaaa,tumekataaa😀😀
 
Kwahiyo Mkuu unaamini hujawahi kumvesha mwenye Ukimwi?

Ukimwi hauambukizwi kiivo mdhaniavyo!
 
unatakiwa umpongeze mwanaume mwenzako kwa kuvikwepa vishawishi
Kumpongeza kwenye uandishi kama huu ni kumwangamiza kabisa kitaaluma.

Huyu anaonekana ni mtunzi mchanga wa hadithi/tamthilia, kumsaidia katika kipaji chake ni kumwonyesha sehemu alizokosea ili ajisahihishe.
Kumkosoa hakuna maana ya kumkatisha tamaa bali ni kumuimarisha na kumfanya ajue wasomaji sio wajinga wa kutupiwa tu mataputapu....ajipange.
 
Ila we jamaa acha ushamba Yani ukashindwa kumla nawakati salama zipo Dah uenda hata wewe ulijilaumu kwa upuuzi huo
 
Hii thd hata kama ni Chai kama wanavyodai member wengine But kuna funzo kubwa sana hapa.
 
Ulitumia kipimo gan?? Mtu hawezi kuwa positive kwa kipimo kimoja !! huwa kuna kipimo cha kuthibitisha!!..

Ndyo maana haya mazoezi hufanyika vituo vya afya
hii ilishawah tokea kwa mshikaj alipima nyumban kikasoma anao akaenda hospital zaid ya tano tofaut hana
 
Habari za humu wakuu

Nilijieka kwa mdada fulan hivi ila hatukudumu Sana mahusiano yakapotea tu ghafla, japo haikuwa kuachana rasmi. (Mimi ni mme na baba wa familia)

Sasa wiki mbili zimepita wife kasafiri kidogo. Nikiwa kwenye mizunguko yangu siku ya J3 na kutana na yule mrembo ambae tuliacha kuwasiliana miez minne Sasa, baada ya salamu na mazungumzo kidogo, tukaachana nikamwambia nitamchek baadae,

Basi ndio ikawa mwanzo wa mawasiliano upya, na vile wife hayupo. Sasa tukakubaliana Ijumaa tuonane niende kwake kula tunda, kifupi ana biashara zake tu Hana shida ndogo ndogo kivile,

Siku imefka, mida ya saa 3 usiku nikamwambia nakuja, akasema sawa ila akanisisitiza lazma niende na vipimo vya HIV Mana ni mda umepita hawez niamin bila kupima, nikaona jambo jema. Bas nikamchek mwangu mmoja Doctor kumuuliza vipimo akasema vipo.

Nikamchek boda boda, mdogo mdogo Hadi kwa mwanangu chukua vipimo, maji, na Kila kitu, mdogo mdogo tena Hadi kwa mdada, Ile nafka tu cha kwanza anauliza Kama nimekumbuka vipimo, nikamwambia bila Shaka.

Zoezi la kupima faster likaanza, anasema ngoja aanze yy kwanza ili akaoge, bas nikamchukua damu nikaeka kwa kipimo, kikaeka maji afu yy akachukua maji akaelekea bafuni kuoga hata hajasubiri kipimo kisome Yan Yuko na confidence tu, na Mimi nikatoa damu nikafanya inavotakiwa.

Aisee! Dakika kadhaa naona kipimo Cha mdada kinasoma HIV POSITIVE, hapo ndo jasho lilipoanza kunimwagika ghafla japo huu mkoa Kuna baridi sana, me kipimo changu kipo fresh, shida ni Cha huyu mdada namwambiaje, atapokeaje, itakuaje? mawazo yamenijaa, nikimbie! Mtu akikutwa na maambukizi si hupewa ushaur nasaha! Itakuaje sasa! Namuonea huruma yule binti ila yy ndo alisisitiza kupima, me nilikuja na salama mfukon, du!

Ile sijamaliza kuwa bint anasukuma mlango anaingia ndan toka bafun, Yuko na kanga moja na ana shape nzur Sana yule dada jaman! Akapitiliza chumban, min nimekaa pale seblen nicjue nn Cha kufanya,

Nikapata wazo la kuficha vipimo, faster nikakusanya vyote nikaweka kwenye kifungashio nikaficha chini ya sofa, namaliza tu mdada anakuja na kanga yake nyepesi kabsa anakaa pale nilipokaa zero distance mnaita, nikajikaza Sana asijue Kama nimechanganyikiwa, tukaanza story za hapa na pale mdada ni mtu wa story Sana, nawaza niage ila moyo unagoma atajua Kuna kitu, katikati ya story mdada ananiulizia vipimo viko wapi? Nikamchanganya kidogo kabla hajamaliza swali nkimuuliza kitu, akaanza kujibu kabla sijajibu swali lake story zikaendelea toa weka lengo asahau kuhusu vipimo,

Story story mdada akaanza kusinzia usingizi ukampitia, aisee! Nikamuamsha tuende kulala chumban, ikawa Ivo

Nikamwambia leo umechoka Sana, akasema ndio Kaz zilikuwa nyingi kwny mishe zake, nikamwambia leo sitak nikuchoshe lala, kesho nitakuja kwa ajili ya show, akasema sawa, akuchewa akalala ucngiz, ***** cjalala kabsa usiku mzma, Hadi saa kumi na moja naamka namuaga huku siamin kilichotokea, nikamwambia usiku wa leo nitaenda kupga show,

Nimeamka chap nikaenda seblen nikachukua kifungashio nilichoficha vipimo nikaeka mfukon, alivokuja akanifungulia get nikaondoka,

Nimerudi home nawaza kilichotokea, hivi situation kama hii ikitokea unafanyaje!? Nishapima wadada kadhaa kabla ya sex ila sikuwahi kumpata muhathirika, yule mdada kaungua ila hajijui masikini, labda ataua bila kukusudia kesho, namsaidiaje? Nimwambie nini? Nashukuru nimepona kwa leo, nimemtumia wife Nauli arudi tu, nyege zitatuua.

NB: Sijawah andika chochote humu ila hili limenilazima kwakweli, hivyo uandishi wangu unaweza usivutie
Hayo ni baadhi ya majanga ya vidume macho mingi mingi hivyo usiogope,hiyo ni sehemu ya ile maana ya kukwepa mishale mingi 😄
 
Wanaoamini kuhusu UKIMWI,wanicheki PM niwape nondo hii
Screenshot_20221120-104149.jpg
 
Hapo kuna walakini, mtu hamjaonana siku kibao na amekualika kwake kwa ajili ya 'game' halafu eti mlale naye mpaka asubuhi kitanda kimoja asitake mchezo?....... hii chai!
Chai si kidogo. Vipimo vya mtoa mada bado ni SIRI yake. Huenda na wewe umeathirika kitambo tu Ila unajifariji JF.
 
Mshauri kwamba unamalengo makubwa naye. So umeona vipimo vya faster havitafaa mwende mpime kwa wataalamu. Kama kweli imo atapa fursa ya ushauri nasaha na namna ya kuanza maisha mapya.
Habari za humu wakuu

Nilijieka kwa mdada fulan hivi ila hatukudumu Sana mahusiano yakapotea tu ghafla, japo haikuwa kuachana rasmi. (Mimi ni mme na baba wa familia)

Sasa wiki mbili zimepita wife kasafiri kidogo. Nikiwa kwenye mizunguko yangu siku ya J3 na kutana na yule mrembo ambae tuliacha kuwasiliana miez minne Sasa, baada ya salamu na mazungumzo kidogo, tukaachana nikamwambia nitamchek baadae,

Basi ndio ikawa mwanzo wa mawasiliano upya, na vile wife hayupo. Sasa tukakubaliana Ijumaa tuonane niende kwake kula tunda, kifupi ana biashara zake tu Hana shida ndogo ndogo kivile,

Siku imefka, mida ya saa 3 usiku nikamwambia nakuja, akasema sawa ila akanisisitiza lazma niende na vipimo vya HIV Mana ni mda umepita hawez niamin bila kupima, nikaona jambo jema. Bas nikamchek mwangu mmoja Doctor kumuuliza vipimo akasema vipo.

Nikamchek boda boda, mdogo mdogo Hadi kwa mwanangu chukua vipimo, maji, na Kila kitu, mdogo mdogo tena Hadi kwa mdada, Ile nafka tu cha kwanza anauliza Kama nimekumbuka vipimo, nikamwambia bila Shaka.

Zoezi la kupima faster likaanza, anasema ngoja aanze yy kwanza ili akaoge, bas nikamchukua damu nikaeka kwa kipimo, kikaeka maji afu yy akachukua maji akaelekea bafuni kuoga hata hajasubiri kipimo kisome Yan Yuko na confidence tu, na Mimi nikatoa damu nikafanya inavotakiwa.

Aisee! Dakika kadhaa naona kipimo Cha mdada kinasoma HIV POSITIVE, hapo ndo jasho lilipoanza kunimwagika ghafla japo huu mkoa Kuna baridi sana, me kipimo changu kipo fresh, shida ni Cha huyu mdada namwambiaje, atapokeaje, itakuaje? mawazo yamenijaa, nikimbie! Mtu akikutwa na maambukizi si hupewa ushaur nasaha! Itakuaje sasa! Namuonea huruma yule binti ila yy ndo alisisitiza kupima, me nilikuja na salama mfukon, du!

Ile sijamaliza kuwa bint anasukuma mlango anaingia ndan toka bafun, Yuko na kanga moja na ana shape nzur Sana yule dada jaman! Akapitiliza chumban, min nimekaa pale seblen nicjue nn Cha kufanya,

Nikapata wazo la kuficha vipimo, faster nikakusanya vyote nikaweka kwenye kifungashio nikaficha chini ya sofa, namaliza tu mdada anakuja na kanga yake nyepesi kabsa anakaa pale nilipokaa zero distance mnaita, nikajikaza Sana asijue Kama nimechanganyikiwa, tukaanza story za hapa na pale mdada ni mtu wa story Sana, nawaza niage ila moyo unagoma atajua Kuna kitu, katikati ya story mdada ananiulizia vipimo viko wapi? Nikamchanganya kidogo kabla hajamaliza swali nkimuuliza kitu, akaanza kujibu kabla sijajibu swali lake story zikaendelea toa weka lengo asahau kuhusu vipimo,

Story story mdada akaanza kusinzia usingizi ukampitia, aisee! Nikamuamsha tuende kulala chumban, ikawa Ivo

Nikamwambia leo umechoka Sana, akasema ndio Kaz zilikuwa nyingi kwny mishe zake, nikamwambia leo sitak nikuchoshe lala, kesho nitakuja kwa ajili ya show, akasema sawa, akuchewa akalala ucngiz, ***** cjalala kabsa usiku mzma, Hadi saa kumi na moja naamka namuaga huku siamin kilichotokea, nikamwambia usiku wa leo nitaenda kupga show,

Nimeamka chap nikaenda seblen nikachukua kifungashio nilichoficha vipimo nikaeka mfukon, alivokuja akanifungulia get nikaondoka,

Nimerudi home nawaza kilichotokea, hivi situation kama hii ikitokea unafanyaje!? Nishapima wadada kadhaa kabla ya sex ila sikuwahi kumpata muhathirika, yule mdada kaungua ila hajijui masikini, labda ataua bila kukusudia kesho, namsaidiaje? Nimwambie nini? Nashukuru nimepona kwa leo, nimemtumia wife Nauli arudi tu, nyege zitatuua.

NB: Sijawah andika chochote humu ila hili limenilazima kwakweli, hivyo uandishi wangu unaweza usivutie
 
Back
Top Bottom