Nimenusurika kuambukizwa HIV usiku wa leo, nimekoma

Hapo kuna walakini, mtu hamjaonana siku kibao na amekualika kwake kwa ajili ya 'game' halafu eti mlale naye mpaka asubuhi kitanda kimoja asitake mchezo?....... hii chai!
Umekataaaa,tumekataaa😀😀
 
Kwahiyo Mkuu unaamini hujawahi kumvesha mwenye Ukimwi?

Ukimwi hauambukizwi kiivo mdhaniavyo!
 
unatakiwa umpongeze mwanaume mwenzako kwa kuvikwepa vishawishi
Kumpongeza kwenye uandishi kama huu ni kumwangamiza kabisa kitaaluma.

Huyu anaonekana ni mtunzi mchanga wa hadithi/tamthilia, kumsaidia katika kipaji chake ni kumwonyesha sehemu alizokosea ili ajisahihishe.
Kumkosoa hakuna maana ya kumkatisha tamaa bali ni kumuimarisha na kumfanya ajue wasomaji sio wajinga wa kutupiwa tu mataputapu....ajipange.
 
Ila we jamaa acha ushamba Yani ukashindwa kumla nawakati salama zipo Dah uenda hata wewe ulijilaumu kwa upuuzi huo
 
Hii thd hata kama ni Chai kama wanavyodai member wengine But kuna funzo kubwa sana hapa.
 
Ulitumia kipimo gan?? Mtu hawezi kuwa positive kwa kipimo kimoja !! huwa kuna kipimo cha kuthibitisha!!..

Ndyo maana haya mazoezi hufanyika vituo vya afya
hii ilishawah tokea kwa mshikaj alipima nyumban kikasoma anao akaenda hospital zaid ya tano tofaut hana
 
Hayo ni baadhi ya majanga ya vidume macho mingi mingi hivyo usiogope,hiyo ni sehemu ya ile maana ya kukwepa mishale mingi 😄
 
Wanaoamini kuhusu UKIMWI,wanicheki PM niwape nondo hii
 
Hapo kuna walakini, mtu hamjaonana siku kibao na amekualika kwake kwa ajili ya 'game' halafu eti mlale naye mpaka asubuhi kitanda kimoja asitake mchezo?....... hii chai!
Chai si kidogo. Vipimo vya mtoa mada bado ni SIRI yake. Huenda na wewe umeathirika kitambo tu Ila unajifariji JF.
 
Mshauri kwamba unamalengo makubwa naye. So umeona vipimo vya faster havitafaa mwende mpime kwa wataalamu. Kama kweli imo atapa fursa ya ushauri nasaha na namna ya kuanza maisha mapya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…