Nimenusurika kufa jana

Hizo dawa siku hizi ni fake... Zina attack binadamu zaidi kuliko mmbu . Wamejaza maperfume tu
 
pole kwa yaliyokupata. na hongera kwa kutoka salama ashukuriwe Mungu kwa ajili yako.
 
Aaaah jamani, sasa mie nitajuaje🙈

Unanifanyia makusudi tuu..
Hvi kweli binadamu mwenzako mwenye miguu na mikono unasema anaishi kwenye andaki madam 😢😢😢
 
We acha tu boss wangu ni balaaaa
Kuna watu humu wanadanganyana et dawa ya mbuu haiui binadamu... Ahahahaha kwani ya panya nayo ipo vipi..

Sasa kuna njia moja hapo umenifundisha takua nachoma pili pili
 
Hizo dawa siku hizi ni fake... Zina attack binadamu zaidi kuliko mmbu . Wamejaza maperfume tu
Weee mkuu yaani kwa hali ile alafu mbu asife aaaaaaah
 
Kuna watu humu wanadanganyana et dawa ya mbuu haiui binadamu... Ahahahaha kwani ya panya nayo ipo vipi..

Sasa kuna njia moja hapo umenifundisha takua nachoma pili pili
Kama hawaamini kuwa haiui simpo tu waambie wajaribu

Sasa uchome pili pili kwani umesikia ni dawa ya kuua mbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…