The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Ungekufa tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za kujinga tu mkuu an hamna cha maanaNatamani kuzisikia sababu alizokupa!
Acha roho mbaya wewe ..Ungekufa tu mkuu
Aaaah jamani, sasa mie nitajuaje🙈Madamu niwie radhi bana...
Nakaaje kwenye handaki Sasa.. kwani mi nyoka madamu au mi mwanajeshi 😄😄😄
We acha tu boss wangu ni balaaaaSi ndo kufa huko mkuu.
Unaweza choma mapafu
pole kwa yaliyokupata. na hongera kwa kutoka salama ashukuriwe Mungu kwa ajili yako.Wakuu wasalam..
Wakuu uhai na kifo vimetenganishwa mstari mwembamba sana.
Kama wewe unadanganywa na kina Kiranga sijui Mungu hakuna wee subiri kila mtu zamu yake inakuja.
Wakuu katika haya maisha kama kitu ujui boraa kuuliza tu.. maana jana ilikua ni hatari mno maana mngesikia mengine.
Huyu mtu jana alikuwa anafanya jaribio la kutaka kunitoa roho ili badae aseme ni bahati mbaya.
Usiku baada ya msosi nikasema leo ngoja nimualike antiel tuje kucheki chek movie. Vishu Mtata Sio antiel dorry huyu ni mwingine..
Usiku kavizia mimi nimelala yeye kapulizia dawa alafu yeye akatoka njee .. mi nasema alivizia maana hata sababu anazotoa mi bado sijamwelewa
Wakuu hali niliyopitia acha tuu yaani yale madawa ni kama koo linakauka alafu una paliwa mda wote..
Kilichoniokoa ni kuingia chini ya kitanda huku nikiwa nimejifunika taulo puani.
Maana mlango alifunga kwa njee.
Anakuja kufungua anatoa sababu za kijinga kijinga et alikua chooni wakuu.n Kweli chooni nusu saa .
Mimi nilitamani nipulizie dawa alafu alale na yeye ili aone show yake.
Kiufupi wakuu elimu itolewe zaidi kuhusu hizi dawa maana jana niliona kabisa nadharililika maana nusu haja zinitoke aiseee
View attachment 3196221
Wewe Infropreneur unaesema Mungu hayupo sijui mara uamini ..
Jifingie room alafu puliza huu mzigo kuna vtu utaona ndo utaamini there is someone called soul removaler au mtoa roho
Aaaah jamani, sasa mie nitajuaje🙈
Kuna watu humu wanadanganyana et dawa ya mbuu haiui binadamu... Ahahahaha kwani ya panya nayo ipo vipi..We acha tu boss wangu ni balaaaa
Weee mkuu yaani kwa hali ile alafu mbu asife aaaaaaahHizo dawa siku hizi ni fake... Zina attack binadamu zaidi kuliko mmbu . Wamejaza maperfume tu
Asante dada angu..pole kwa yaliyokupata. na hongera kwa kutoka salama ashukuriwe Mungu kwa ajili yako.
asante sana mkuu..Pole sana
Kama hawaamini kuwa haiui simpo tu waambie wajaribuKuna watu humu wanadanganyana et dawa ya mbuu haiui binadamu... Ahahahaha kwani ya panya nayo ipo vipi..
Sasa kuna njia moja hapo umenifundisha takua nachoma pili pili
Nishakupa namba toka Jana hujanichk uje upate dozi Poor Brain secretarybird shangazi yenu analalamaNaham sana leo mpaka nahisi kinyeo kinabwinya bwinya
Ohoo...zinakuangamiza wewe zaidi. Achana nazo kabisa.Weee mkuu yaani kwa hali ile alafu mbu asife aaaaaaah
niko poa ila uache ..................... utakuja kufa tukukose bure bado tunakuhitajiAsante dada angu..
Mzima wewe lakini
Show ya pili pili naamini hawato wahi kuja teenaaKama hawaamini kuwa haiui simpo tu waambie wajaribu
Sasa uchome pili pili kwani umesikia ni dawa ya kuua mbu
Aaaah mkuu wewe ni mtu mwenye bahat sanaNishakupa namba toka Jana hujanichk uje upate dozi Poor Brain secretarybird shangazi yenu analalama
Tajarb mkuu takua natumia za kuchomaOhoo...zinakuangamiza wewe zaidi. Achana nazo kabisa.