Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #221
Nafurahi kusikia hivo kama bado nahitajika..niko poa ila uache ..................... utakuja kufa tukukose bure bado tunakuhitaji
karibuNafurahi kusikia hivo kama bado nahitajika..
Kwa sasa nimejifunza kitu kuwa ni bora kua muwazi kwa mwenzako ili ajue matumizi ya vtu mbali mbali..
Nje ya mada dada naweza kuuliza jmbo
Utanipa mrejesho boss wangu,huenda ukawa wa kwanza kuvumbua dawa ya asili ya kuua mbuShow ya pili pili naamini hawato wahi kuja teenaa
πAaaah mkuu wewe ni mtu mwenye bahat sana
Mara 100..Tajarb mkuu takua natumia za kuchoma
Ni ukweli una kidoti..?karibu
Hiyo hiyo HiT limon mkuuHiyo Hits dawa Gani inanunukia hivyo!! Mm nikiipuliziaga geto naona kama mende na mbu wanashangilia hawafi kabisa.
Wee nawe muuaji kumbe πππUtanipa mrejesho boss wangu,huenda ukawa wa kwanza kuvumbua dawa ya asili ya kuua mbu
Hawa mbu kuna mda wanaweka sherehe kabisaMara 100..
Mkuu sio handaki ni chumba..Hicho chumba hakina dirisha?
Sijafa sasa mkuu πππboss unataka kufa daah unatuachajeachaje?
haha ndio ninacho nimepewa na baba. ila si kikubwa si kidogo yaani hakiboiNi ukweli una kidoti..?
Baba muumba sio..haha ndio ninacho nimepewa na baba. ila si kikubwa si kidogo yaani hakiboi
Huyu mshamba alitaka kunitoa roho mkuu wanguHata maelekezo husomi Mzee baba?, hayo madude hupulizwa ndani au tuseme chumbani kukiwa hamna mtu na uwe umefunga madirisha na milango yote husika ya hicho chumba, after 15 minutes unaingia zako ndani, it's very simple.
namaanisha baba anacho piaBaba muumba sio..
Samahani lakini naweza kukiona dada kidti ππππππ