Nimenusurika kufa jana

Nimenusurika kufa jana

Ukamhukumu mtoto wa watu kataka kukuua makusudi asingizie bahati mbaya. Dont be judgemental
Nadhani ungetuambia ulichoona wakati unapitia huo mchakato. hata haujazimia mkuu, 😀. Pole lakini
 
Ukamhukumu mtoto wa watu kataka kukuua makusudi asingizie bahati mbaya. Dont be judgemental
Nadhani ungetuambia ulichoona wakati unapitia huo mchakato. hata haujazimia mkuu, 😀. Pole lakini
Mkuu nusu nusu aiseee acha kabisa..
Ujue ile hatareee wee acha Tu

Yaani kule chini ya uvungu nilikua najua mybe ni majambazi wamepulizia vtu ili tufe
 
Jamanii weee mbona nimeelekeza vzri..
Mtu nimelala nae ndani mida kama ya usiku mi nimelala nastuka nakutana na hiyo hali na nipo ndani peke angu..

Kuangaika kufungua mlango nakuta umefungwa kwa nje nakazama uvunguni.

Badae anakuja kufungua anasema alikua chooni ndo mana akafunga mlango.
Na alipulizia dawa maana anasema kulikua na mbu alishindwa kupata usingizi
Aisee, huyo mwanamke achana naye haraka sana atakuja kukutoa roho. Hapo alidhamiria kukuua! Tumekuwa tukiwasakama sana single mother hebu tupe uzoefu na huyo ni single mother? Yaani mimi hii tabia ya kuchepuka nikifika hapo ndipo inanishinda, yaani ukaokoteze li mtu huko barabarani halafu uje ulale nalo ndani kwako? Hapana aisee!
 
Seems we
Above 24 mkuu ...
Wamamd ndio mana ni mkubwa na ni mteja wangu
Are age mates..... au umenizid kidogo sasa mwanangu sikia hao wamama kwanza ni wasafi ? Pili usalama wako unahakikisha vipi km hivyo?

Nijuavyo demu siku zote ugenini km choo Cha nje ataomba umsindkze au ukae attention ili aende washroom!

Kibaya Hana ile haya ya kuuliza babe mbu wengi nipulize dawa yeye kaamka tuu..... Ungekufa ? Ungezimia ?

Kaa makini Kuna mwenzio kalia humu makalio yake yanapigwa picha ...... Huyo ataja akuibie

Kuwa makini 😂
 
Mkuu ishu ni dawa ya mbuu ulitaka kunitoa uhai ooooh weww sema hiv hv mi poor ila yakikudaka aaaah utakubali
Dawa ya Mbu jau sana Mimi mwenyewe nilishanusurika kukata upepo.

Nakumbuka wakati nipo Chuo kuna siku nimerudi home nimechoka ile mbaya. Kulala na Neti siwezi kabisa, nikachoma ile dawa ya Mbu ya coil.

Nikalala kws sababu nilikuwa nimechoka sana nikawa nimelala huku nimejiachia sana mto wa kulalia ukadondoka chini karibu na ile dawa ya Mbu, ile pillow ikaanza kuungua na mimi nipo usingizini huku nakohoa bila kujitambua.

Watu wamekuja kuvunja mlango wakanitoa nje niko hoi nimeshakohoa non stop na macho yamevimba, mbavu na kifua vinauma sana.
 
Aisee, huyo mwanamke achana naye haraka sana atakuja kujitoa roho. Hapo alidhamiria kukuua! Tumekuwa tukiwasakama sana single mother hebu tupe uzoefu na huyo ni single mother? Yaani mimi hii tabia ya kuchepuka nikifika hapo ndipo inanishinda, yaani ukaokoteze li mtu huko barabarani halafu ujesio ulale nalo ndani kwako? Hapana aisee!
Mkuu huyu ni mmama tuu ambaye nilikua namazoea nae kule kazini..
Yeye ni mwalimu ishu niliyoona ni kutokua na elimu wa hizi dawa sijui....

Sio single maza ana mume wake huyu oooh
 
Seems we

Are age mates..... au umenizid kidogo sasa mwanangu sikia hao wamama kwanza ni wasafi ? Pili usalama wako unahakikisha vipi km hivyo?

Nijuavyo demu siku zote ugenini km choo Cha nje ataomba umsindkze au ukae attention ili aende washroom!

Kibaya Hana ile haya ya kuuliza babe mbu wengi nipulize dawa yeye kaamka tuu..... Ungekufa ? Ungezimia ?

Kaa makini Kuna mwenzio kalia humu makalio yake yanapigwa picha ...... Huyo ataja akuibie

Kuwa makini 😂
Ni smart kichwani n msafi sijui nini kilimkuta aiseee...

Anasema kwake anauwezo wa kupulizia vzr tii bila hata ya wao kutoka njee.

Ishu kwann alifunga mlango
 
Dawa ya Mbu jau sana Mimi mwenyewe nilishanusurika kukata upepo.

Nakumbuka wakati nipo Chuo kuna siku nimerudi home nimechoka ile mbaya. Kulala na Neti siwezi kabisa, nikachoma ile dawa ya Mbu ya coil.

Nikalala kws sababu nilikuwa nimechoka sana nikawa nimelala huku nimejiachia sana mto wa kulalia ukadondoka chini karibu na ile dawa ya Mbu, ile pillow ikaanza kuungua na mimi nipo usingizini huku nakohoa bila kujitambua.

Watu wamekuja kuvunja mlango wakanitoa nje niko hoi nimeshakohoa non stop na macho yamevimba, mbavu na kifua vinauma sana.
Pole mkuu

Mimi ni nje na dawa ya mbu

Ilikuwa mshumaa...... Nyumbn kipindi hiko umeme hamna umekata.....

Ule mshumaa ulikuwa kwenye meza japo ulkuwa unaishilia ishilia afu nilikuwa na Faza.....

Mm nshalala mapema nikijua nipo na strongest man ....... Sasa naye kapitiwa na usingz

Mshumaa saa ngp haujashika vitu vilivyokuwa pale.....

Mimi naamka asubuhii nakuta chumba vitu vimeungua..... Kumbe usiku maza alikuwa mzazi so kashutka kaja fasta mzee kukurupuka moto....

Asubuhii nahadithiwa niliogopa kinoma
 
Dawa ya Mbu jau sana Mimi mwenyewe nilishanusurika kukata upepo.

Nakumbuka wakati nipo Chuo kuna siku nimerudi home nimechoka ile mbaya. Kulala na Neti siwezi kabisa, nikachoma ile dawa ya Mbu ya coil.

Nikalala kws sababu nilikuwa nimechoka sana nikawa nimelala huku nimejiachia sana mto wa kulalia ukadondoka chini karibu na ile dawa ya Mbu, ile pillow ikaanza kuungua na mimi nipo usingizini huku nakohoa bila kujitambua.

Watu wamekuja kuvunja mlango wakanitoa nje niko hoi nimeshakohoa non stop na macho yamevimba, mbavu na kifua vinauma sana.
Duuuh sasa wewe hyo ilikua hatareee nyingine tena wewe ni danger bora hata mm maana wewe mule ndani kulikua na moshi (carbon dioxide) hapo

Unakosa hewa maana hyo CO² ina high affinity to oxygen yaan hapo unakauka.mapemaaa kabisa

Mim hii ya kuchoma mbona nalala.nayo.unyama tuu ila inakua ipo safe environment siiweki bed mkuu
 
Pole mkuu

Mimi ni nje na dawa ya mbu

Ilikuwa mshumaa...... Nyumbn kipindi hiko umeme hamna umekata.....

Ule mshumaa ulikuwa kwenye meza japo ulkuwa unaishilia ishilia afu nilikuwa na Faza.....

Mm nshalala mapema nikijua nipo na strongest man ....... Sasa naye kapitiwa na usingz

Mshumaa saa ngp haujashika vitu vilivyokuwa pale.....

Mimi naamka asubuhii nakuta chumba vitu vimeungua..... Kumbe usiku maza alikuwa mzazi so kashutka kaja fasta mzee kukurupuka moto....

Asubuhii nahadithiwa niliogopa kinoma
Wee jau kumbe ahahah yaani purukushci za usiku hukusikia hata..

Mshumaa hata mimi enzi hizo niliwahi unguza kabati la mzee daaah aisee ilikua hatar na hapo alinisisitiza nizime mshumaa
 
Back
Top Bottom