Nimenusurika kufumwa dakika za mwisho

Nimenusurika kufumwa dakika za mwisho

jennnn

Member
Joined
Jun 27, 2021
Posts
5
Reaction score
20
Hali zenu?

Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu.

Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala sipo in relationship naye ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kuongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.

Basi akanishtukia alivyokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia, ila nikagoma kutoa password nikamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.

Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je, na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho? na yule kijana nishamblock sirudii tena.
 
Yani umekuja kuniweka wazi kwenye JF, umeniona boya kiasi hicho, unafikiri nimemalizana na wewe, sasa ndio sikuongeleshi tena mpaka mwaka huu uishe. Na mwaka huu hauishi lazima ntaoa mke wa pili ili ushike adabu.

Halafu hebu kaa na ujiulize yule kijana au ndoa yako, kipi muhimu kati ya hivo viwili???
 
Yani umekuja kuniweka wazi kwenye JF, umeniona boya kiasi hicho, unafikiri nimemalizana na wewe, sasa ndio sikuongeleshi tena mpaka mwaka huu uishe.

Halafu hebu kaa na ujiulize yule kijana au ndoa yako, kipi muhimu kati ya hivo viwili???
[emoji23][emoji23][emoji23]sio mhusika wewe.Umeamua kimtetemesha mtoto wa watu.
 
Yaani kiukweli mimi mke wangu akitaka tukosane asitoe password kwa simu yake endapo ninamashaka juu ya jambo fulani.Yaani kwa jinsi scenario ilivyo unaonyesha si mwaminifu na kwangu mm ingekuwa bonge la mgogoro katika ndoa yetu.
 
Mmhh kwa dariri hizo upo karibu ku-cheat.... the natania tu
Hali zenu?jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu . Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8, basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu, akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Umefungua account saa 2 hii alafu unapost utumbo
Inaelekea unapenda sana [emoji735]
 
Back
Top Bottom