Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,696
- 15,390
Yeah hizi kesi za wana ndoa kuuana, kukatana mapanga au kuchoma nyumba kwa sababu ya wivu wa mapenzi zisingekuepo kabisaUmeona eh! Hahahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah hizi kesi za wana ndoa kuuana, kukatana mapanga au kuchoma nyumba kwa sababu ya wivu wa mapenzi zisingekuepo kabisaUmeona eh! Hahahahahaha
Mimi kuna watu siwaelewi kabisa,mnazinguana na mtu wako unakuja jf unamwaga upupu wako hapa,una uhakika gani kama huyo mtu wako hayumo humu,na mbaya zaidi unaandika bila konakona vipi akiwemo humu huoni unakua umejikamatisha mwenyewe?Hali zenu?jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu . Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8, basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu, akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Yeah hizi kesi za wana ndoa kuuana, kukatana mapanga au kuchoma nyumba kwa sababu ya wivu wa mapenzi zisingekuepo kabisa
Pole hiyo ni warning sign.. Ameshakuweka kwenye shakaHali zenu?
Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu .
Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.
Basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.
Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Angechagua kufa kuliko kutoa password ili apoteze ushahidi[emoji1787][emoji1787]Its not a laughing matter at all, imagine simu yake ingekua haina passowrd au angeshikiwa kisu atoe password
Hahaha kazi kweli kweliAngechagua kufa kuliko kutoa password ili apoteze ushahidi[emoji1787][emoji1787]
HaswaaHahaha kazi kweli kweli
hahaha!hapa umenikumbusha kipnd navaa mkoba uliondikwa sport nying nyngiiii!ndan nimetia visudee na kikombe na sahan ya ugali bila kusahau ufagio na kidumuKilimo cha mpira malaya
[emoji23][emoji23]uko makini sana kuchek wa2 mkuuUmefungua account saa 2 hii alafu unapost utumbo
Inaelekea unapenda sana [emoji735]
Umeishamkaribisha shetani nafsini. Yaani sasa ndiyo utafungulia kuchat na upande wa pili masuala myenduano, maana ushaona raha yake. Hapo utazidisha mbinu za kutokushtukiwa na mumeo...ukijashtuka umegraduate kutoka kuchat kuingia kwenye mnyanduano wenyewe.Hali zenu?
Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu .
Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.
Basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.
Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Hahahah we mwanamke wewe 😂😂😂Mumeo ni mstaarabu sana na umemuonea eeh? Yaani ashtukie kitu na akuombe password ukatae kutoa aki mimi ni mdada ila ningekua ndiye mumeo hiyo password ungetoa kwa hayo mabanzi(makonzi) ungekula, why usitulie na ndoa yako unajitafutia kuachwa buree😏😏
Kweli babe, vipi ungekua ni wewe😂?Hahahah we mwanamke wewe 😂😂😂
Jamani yeye simu zake zote hanipi passwords na nishamfuma mara nyingi tu,ilikua ni shetani tu na nlichat nae as friends only, halafu jana kanijia ghafla kanipokonya simu kaipekura Kote hajakuta kituMumeo ni mstaarabu sana na umemuonea eeh? Yaani ashtukie kitu na akuombe password ukatae kutoa aki mimi ni mdada ila ningekua ndiye mumeo hiyo password ungetoa kwa hayo mabanzi(makonzi) ungekula, why usitulie na ndoa yako unajitafutia kuachwa buree[emoji57][emoji57]
Ndio lakini sisi waislam kama kuna picha za my sisters bila kujistiri haifai yeye azione,ndo nkamwambia siwezi kufungua ukamuona my sisi wazi na Ana mume wake , akaamini na jana kanivizia kapokonya simu kaichunguza Kote bahati nzuri kaona bado nachat na sis hata jana akanirudishia simu yangu hajasema kitu.Pole hiyo ni warning sign.. Ameshakuweka kwenye shaka
Nyang'au kabisa tena kwa kidogo hicho hicho nakuombea ndoa ivunjikeHali zenu?
Jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu .
Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8.
Basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu.
Akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Mbona yeye anachat hadi na mashoga anaomba number zao, mie iyo kuchat na mtu hana sina ni ya kutoka nae ndo kesi ya hivo jamaniNyang'au kabisa tena kwa kidogo hicho hicho nakuombea ndoa ivunjike
Kwani mwisho wa hizo chat si ilikuwa anagongwa tu. Huyo kijana wangechat nae na siku angerudi tu nyumbani vingeumanaHebu fikiria unaachwa kisa unachat na mtu tu hata hamjakutana hata hamjafanya. Acha kuwa mjinga.
Ustaarabu au ujinga tu, leo kaanza hivvyo mwanaume umenuna, kesho atanyanduliwa mwaume utazira kumnyandua hapo hakuna issue.Mumeo ni mstaarabu sana na umemuonea eeh? Yaani ashtukie kitu na akuombe password ukatae kutoa aki mimi ni mdada ila ningekua ndiye mumeo hiyo password ungetoa kwa hayo mabanzi(makonzi) ungekula, why usitulie na ndoa yako unajitafutia kuachwa buree😏😏