spectator Ion
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 349
- 369
Chat nae Snapchat .. ishu ndogo izo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Yani umekuja kuniweka wazi kwenye JF, umeniona boya kiasi hicho, unafikiri nimemalizana na wewe, sasa ndio sikuongeleshi tena mpaka mwaka huu uishe.
Halafu hebu kaa na ujiulize yule kijana au ndoa yako, kipi muhimu kati ya hivo viwili???
Na yako usiweke password😀Yaani kiukweli mimi mke wangu akitaka tukosane asitoe password kwa simu yake endapo ninamashaka juu ya jambo fulani.Yaani kwa jinsi scenario ilivyo unaonyesha si mwaminifu na kwangu mm ingekuwa bonge la mgogoro katika ndoa yetu.
Hata ukirudia si yuko nje akikuita utatusua mwanaHali zenu?jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu . Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8, basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu, akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
DuhHali zenu?jamani mwenzenu mume wangu sujawahi mchiti ila yeye nishamfumania mara kadhaa tu . Basi na mimi nkaamua kuchat na kijana tu yupo nje ya nchi wala Sipo in relationship nae ilikua tunachat mambo ya sex tu ila si mpenzi wangu wala chochote na ni mara ya kwanza kiongea na jinsia ya kiume tokea niolewe miaka 8, basi akanishtukia alivokuja kuchungulia simu nikafunga mbio simu hapo sasa ndo akashtukia ,ila nikagoma kutoa password nkamjibu ni sis wangu tuna mambo yetu hayakuhusu, akaniacha ila hajaamini hadi sasa haniongeleshi. Je na wewe ushawahi kunusurika dakika za mwisho?na yule kijana nishamblock sirudii tena.
Lazima gram hata 2 za kinyesi zimemtoka kwa uoga. Huoni kapotea humu?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]sio mhusika wewe.Umeamua kimtetemesha mtoto wa watu.
Its not a laughing matter at all, imagine simu yake ingekua haina passowrd au angeshikiwa kisu atoe password[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Its not a laughing matter at all, imagine simu yake ingekua haina passowrd au angeshikiwa kisu atoe password
Sasa mtu akute mke wake anachati habari za kunyanduana unadhani nini kitatokea😂😂😂😂😂 Kasema haukuwa mtongozo bali ni mambo ya kunyanduana tu. Nadhani alikuwa akimwambia style anazopenda kunyanduliwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mtu akute mke wake anachati habari za kunyanduana unadhani nini kitatokea
Ingekua rahisi namna hiyo maisha yangekua mserereko atiiiAtamuuliza tu mbona hujaniambia mimi kama unapenda nikunyandue kwa style hiyo?
🤣🤣🤣🤣
Ingekua rahisi namna hiyo maisha yangekua mserereko atiii