Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

[emoji2][emoji2][emoji2]

Mkuu nakubali nimewaangusha

Lakini Kwa Hali ilipofikia nilikuwa napambania Uhai sasa.

Wale washikaji waliokuja wenyewe chamoto walikipata.

Ilibidi tuwe Kama tunampiga, ingawaje niliwazuia wasimuumize
Mgepiga na ka selfie ktk huo mtifuano mngepata 1 billion viewers leo leo wallah [emoji23]
 
Hapa wataniona muongo Kwa sababu nimeelezea Kwa kutumia lugha ya Uandishi(Fasihi) ili Stori inoge
Kiuhalisia kwa mtu ambaye hajawahi kuona au kukumbana na mtu wa hivo ni ngumu sana kumuaminisha lakini wapo watu wenye hayo majini
 
Mgepiga na ka selfie ktk huo mtifuano mngepata 1 billion viewers leo leo wallah [emoji23]

Mkuu Kwanza tumeharibu chumba cha watu, huo muda wa selfie ungekuwepo.

Maana picha limeanza Kama mzaha, lakini kadiri muda ulivyoenda mambo yakanikalia koo
 
Ha ha ha ha hii stori kama ni kweli pole sana
 
Mkuu Kwanza tumeharibu chumba cha watu, huo muda wa selfie ungekuwepo.

Maana picha limeanza Kama mzaha, lakini kadiri muda ulivyoenda mambo yakanikalia koo
Mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Vipi huyo warda alikuwa bikra?
Naungeuliwa tu maana mshahara wa dhambi mauti.
 
Mkuu Mwanzoni sikumjua Ila sasa hivi ndio ama zangu ama zake.
Majini hayawezi nizuia nisile Papuchi.

Ningeingia kwenye mgogoro na majini
M
Kwa maelezo aliyonipa huyo niliyewahi kukutana naye anadai kwamba hata wao huwa hawapendi hayo majini kuwavamia ila hawana namna kwani wanajikuta tu wako nayo. Kwahiyo ukiachilia mbali mambo yanapowatokea wao ni binadamu tu kama binadamu mwingine yeyote yule na nilikuja kuamini siku nimekutana naye kwaajili ya show.

Mwanzoni nilikuwa na uoga kiasi cha yeye kuniondoa wasiwasi akanijenga kisaikolojia nikaiva ndipo tukavaana sasa. Aise yule maku anatiana ni hatari! Kama nisingekaza angeondoka na point zote tatu lakini nashukuru hata yeye muziki aliukubali [emoji123] na ukizingatia alikuwa na upwiru wa kufa mtu ayaaaaaaaa!
 
Pamoja na yote lakini dhamira
ya mbususu kuliwa ipo pale pale, kitendo cha kuwa mwanaume tu kila kitu kitafanyika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na yote lakini dhamira
ya mbususu kuliwa ipo pale pale, kitendo cha kuwa mwanaume tu kila kitu kitafanyika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lazima iliwe, nipo tayari kuingia mgogoro na hayo Majini yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…