Nimenusurika kuuliwa na radi

Nimenusurika kuuliwa na radi

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi, nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi JamiiForums kwa kutumia internet ya router ya YAS.

Huku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa, nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima.

Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi

Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices, leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
 
Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi

Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Pole,wanasayansi kina Kiranga wametengeneza radi kutishia watu.
 
Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi

Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Rest In Peace mkuu... Daaah Ilikua Kidogo Tu Mwamba...

Pumzika Kwa Amani Hapo Nyumbani Ili Akili Itulie Kabisa...
 
hilo zaga mpaka sasa nikisikia mungurumo nakosa amani. lili ntwanga nikapote fahamu kwa sekunde
 
Back
Top Bottom