Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahaaaaKuna moja ilinimulika mchana huko kigoma hadi nikahisi nilikuwa nafanyiwa upareshen ya macho nikatoka mbio nikakimbilia kwenye mtaro wa maji wakati nilikuwa nimejificha kwenye kibaraza cha nyumba za barabarani
Radi Iko kama jogoo au ni kama kondoo?Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi
Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Mmh radi ipige mita 2 toka ulipokaa halafu isikudhuru?Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi
Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Sikupenda ni kama nilipoteza ushirikiano na ubongo... Alafu sio oreshink ni oreshnikAhahaaaa
Siku nyingine ukiona radi usikimbilie kwenye maji maana kwenye maji ndo Kuna njia zake
Pole sana mtumish
Sasa ungetuwipa oreshink ingekuwaje sasa
😀😀Kuna moja ilinimulika mchana huko kigoma hadi nikahisi nilikuwa nafanyiwa upareshen ya macho nikatoka mbio nikakimbilia kwenye mtaro wa maji wakati nilikuwa nimejificha kwenye kibaraza cha nyumba za barabarani
Pole sana, niliwahi koswakoswa na radi nikiwa nyumbani nimejikinga mvua sebureni baada ya kutoka shambani. Ilipiga kwa kishindo kikubwa kiasi ambacho nilihisi kuangukiwa na ukuta wa nyumba, nilipiga yowe kubwa ambalo sijui lilitoka wapi.Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi
Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Asante kwa masahihishoSikupenda ni kama nilipoteza ushirikiano na ubongo... Alafu sio oreshink ni oreshnik
Radi ni millions of voltage huwa hanusuriki mtu,Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi
Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Nyieee kuweni serious basi😂😂😂Hiyo ilishawahi kunikuta zile nyumba za kizamani ambazo mawaya ya umeme yalikuwa nje.Kilipiga kitu mpaka nyaya zikawa zinatoa mvuke.Watu ikabidi kuvurumka ndani tena kwenda nje😁😁😁
Ulikua na viatu au kandambili miguuni?Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi ,nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi jamii forum kwa kutumia internet ya router ya YAS ,
Uku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara nikasikia mlio mkubwa wa radi paap na mwanga mkubwa mwekundu hatari wa moto pembeni yangu mita kama 2 ivi na nilipokaa,nilipiga yowe balaa na nikazima router faster kwa kutoa betry na nikatoka nje na umeme main switch ikajizima
Aisee kama haujawahi shuhudia radi we endelea tu kuwasha izo electronics devices wakati wa mvua za radi
Leo nimejifunza kutozipuuzia radi na nawashauri kipindi cha mvua kubwa kuzima kila devices ,leo ningekufa aisee kumbe radi sio poa kabisa
Swali zuriUlikua na viatu au kandambili miguuni?