Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Aisee nakupa pole kuwapata watoto usiojua waliko itakupa shida sana mbaya zaidi kama huyu wa mjeda na wa malaya hao washauziwa waume zao ,hapo endelea kufatilia waliko na hao walio na baba fake uwambie ukweli uache imani za kipumbafu eti utavunja ndoa zao
 
Halafu hajaona tu kama tatizo ni yeye, anatukana wanawake bure tu.
Tatizo langu ni nini?
Kukataa kubadili dini au kuukataa ukimwi, au kukataa kuchukua mke wa mtu au kukataa kuishi na ambae hajatulia?

Tatizo hasa ni nini?

#YNWA
 
Ukimpa mwanamke mimba halafu iyo mimba akaenda kumpa mwanaume mwingine, Hapo wote(mwenye mimba, alie uziwa mimba, alieibiba mimba) Ni mafala.
Fala mkuu ni mwenye mimba, alie uziwa mimba ni fala huyo, alieibeba hiyo mimba ni faler)
Amen.

#YNWA
 
Suala la dini hata simlaumu huyo dada, na yeye hakuweza kubadili km ambavyo wewe ulivyoshindwa. Umeshajifunza next time dini iwe kigezo cha kwanza ili yasitokee yaliyotokea
Dini tuliletewa ZISIKUFUNGE MACHO.

#YNWA
 
Amen.

#YNWA
 
Kwa kasi hii, kama habari ni ya kweli, shukuru hujapata UKIMWI.

Pia, kujua mtoto kama wako, pima DNA, usiangalie sura na kiganja kama mtabiri.
 
Una nyota ya Bundi.
Mara nyingi watu wa namna hii hawafanikiwi kupata watoto na akipata nje ya ndoa mwanamke anakuwa yupo ndani ya ndoa.

Na ukija kupata mtoto ukiwa umeoa huyo mtoto atakuwa wa mchepuko. Yaani mkeo atakuwa amechepuka.🤣🤣🤣
 
lile agano la enendeni mkaijaze dunia itakua lilishukia mikonon mwako
 
we mwanaume ni nyoko kabisa inamaana wewe huwezagi kumwaga nje'dhaifu sana wewe
 
Hizi za kwangu kweli zotee.
Sura za watoto Hazina haja ya DNA test.

#YNWA
Hiyo ndio sifa ya Jogoo, you ejaculate and evacuate.

Alpha fucks and Beta bucks.
Wewe endelea kuwazalisha tu kulea watalea wengine...Cha msingi genes zako zinazidi kuongezeka kwenye Gene pool ya binadamu...shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…