Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Sipo kiroho sana ila swala lako linahitaji msaada kiroho

kuna roho zimekushikilia,kuna vifungo/kamba zinahitaji kukatwa na kuvunjwa vunjwa

you need help brother,unapambana na visivyoonekana wa macho si rahisi kama unavyofikiri

kubali kataa rudi nyuma jichunguze angalia ulipita wapi kisha safisha vunja vunja then Start A fresh

Unaishi ktk ulimwengu flani ambao sijui kama unaelewa lakini swala lako linamuhitaji MUNGU zaidi kuliko shauri zetu.
Mungu akuniumba ili hizo roho zinitese.
Punguza religouspreneurship hizo za kina Mitume na manabii.

#YNWA
 
Nani alikutuma utembee na Malaya tena bila kinga? Condom sio kwaajili ya kuzuia ukimwi peke yake bali hata mimba. Huna tofauti na huyo malaya. Tabia yako ya kiume ya kuchovya chovya ndo iliyokuponza. Unato.mba wanawake kuridhisha hamu zako tu lkn huna future yoyote na wao. Usipobadilika utaendelea kupoteza watoto.
.
.
Kama unaamini Mungu yupo nenda ukaombewe pepo ulilonalo likutoke, upate mke mzae watoto. Hao watoto uliowapoteza wanaweza wakakutafuta baadae ingawa inaweza ikawa sio wote.
.
.
Huna tofauti na single maza mwenye watoto wanne kila mmoja na baba yake.
Umeona sasa...
Katika maelezo yoote we umemuona wa badoo tuu..
Hao wengine vipi?
Yaani umekua only pesmism

1. Yule alisema ukristo ni kafili niwe muislamu wewe unasema niombewe...
Nilitaka kumuoa ila huo udini kama uliouandika hapa ulikatisha malengo ya ndoa.

2. Alinificha status yake ya ukimwi.
Kwanini asingeniambia ili nifanye maamuzi ya kweli.
Na nilitaka kumuoa.

3. Kwanini wake za watu hamsemi ukweli?
Mboo zetu ni tamu kuliko za mume zenu?

Wote hao nilitaka kuwaoa ila KOSA LANGU LIKO WAPI?

#YNWA
 
Jibu ni kwamba rekebisha mitindo yako ya mahusiano.

Yaani, ukosee wa kwanza, pili, tatu, 4?

Halafu mikasa inafanana kama ya bongo movie!
Kosa langu liko wapi?
Ulitaka nibadili dini, ulitaka nikomae na ukimwi au ulitaka nimnyang'anye mjeda mke?

#YNWA
 
Hayo mabaya yaliyomtokea nilimtabiria mimi? Mimi sio mtabiri na neno ninalosema sio lazima litokee. Ni mawazo yangu tu
We umemuona huyo wa 4 na hao walionidanganya mama?

#YNWA
 
Huu uzi ungekuwa ni wa mwanamke ungechangia vizuri tu, tena kwa kuponda. Jamaa ana tatizo...akaombewe na mwamposa
Wa kwanza aliniambia niwe muislamu wewe unasema nikaombewe....

NANI YUKO SAHIHI?

Yaani nitoe hela yangu nikanunue mafuta ya kula kwa mwamposa kisa kayaombea.

Hiii bagoshaaaa stop religouspreneurship aisee...

#YNWA
 
Wewe ndio una shida jichunguze tafta mke uone maana naona utakuja kuishia pabaya kuliko baba diamond
Shida yangu ni kukataa kuwa muislamu, kukataa ukimwi au kumwachia mjeda mke?

Sio kwamba wanawake wanashida ya kunidanganya?

#YNWA
 
Mhmm kweli umepatwa na majanga. Na mbona unapapara ya kupata mtoto Bila kuwajua wazazi au dini za umpendae?Kuhusu Mpenzi wako wa awali wa dini ya kiislamu. Nadhani itakua ngumu kwa ww kutambulika kama mzazi halali wa mtoto kama toka mwanzo ujajitbulisha kabla hajajifungua au kupata ujauzito. Kwa mujibu wa Dini ya kiislamu Mtoto ni wa mama. Hata ungekua mwislamu ni bado sio mtoto wako hawezi kurithi wala ww kutoa idhni ya kumuozesha. Hata ungekua ww ndio mwislamu na mke wako ndo mkristo. Ni bado mtoto ni wa mama akifariki ni lazma mtoto azikwe kwa dini ya mama. Yao ni kwa mujibu na msimamo wa dini ya kiislamu...
Dinij zilikuja na mashua aisee ila misimamo yake imeharibu maisha ya wengii...

#YNWA
 
Ha haaa sijaona ngoja nitafute. Ila lazima umemuonea huruma na kumtia moyo..ingekuwa ni mimi nimepost shida zangu nimezaa watoto wa4 kila mmoja baba yake...my friend, ningebanwa humu bila huruma hadi nijinyonge.
Wanawake punguzeni uongo basiiii...

#YNWA
 
Anaanzaje kudai kwa haki ipi aliyonayo? Akute tu mume wa bidada akubali kumwachia mtoto, mwingine hamuachii hata kama atahakikisha sio wa kwake wa kumzaa. Mtu kalea mimba, kaoa, kalea mtoto amekuwa mkubwa tayari wametengeneza bond...kwa mtu anayejitambua huyo mtoto hamuachii. Kisheria mtoto ni wa mume.
Nilitaka kulea ila walikimbia kisa dini, ukimwi, mke wa mtu na siwezi oa Malaya.

Tungeelewana Mambo ya dini tungemaliza mapema ila alihusudu dini kuliko mimi.

Mke wa mtu umekuja chuo tukawa pamoja, KWANINI ASINGESEMA MAPEMA KUWA KAOLEWA...

Una ukimwi unaficha ili iweje?

#YNWA
 
Miaka 31 tu malaya mzoefu hivyo,utapataje sasa mwanamke wa kumuoa,hao uliotusimulia tu wengine si unajaza fuso zima,punguza zinaa ndugu
Hapo mimi Malaya au wao walionodanganya ndio Malaya..
We ulitaka.....
1. Nibadili dini?
2. Ulitaka nikomae na ukimwi?
3. Ukitaka nimnyang'anye mjeda mke?
4. Ulitaka nioe Malaya?

#YNWA
 
Nadhani mkuu hapa ulipofika shida ni wewe.
Kwanza kuzaa zaa ovyo, na kila mwanamke unayekutana nae sio sawa.

Pili, kila mtu unayezaa naye sjui ninkama unachukulia jambo dogo sana hulipi uzito wake...yani mwanamke familia hazijuani, hakuna nini wala nini...mnadate na kuachana kama viboyfriend na vigirlfriend vya A level wakati hao ni wazazi wenzako...

Sorry to be harsh, but truth gotta be said.

My only advise ni kuwa goig forward usizae zae tu na yeyote unayekutana nae.

Sex does not have to lead to babies all the time. Otherwise tungekuwa tuna watoto kila sehemu kwa idadi isiyomakinika
Sogea tuishi baadae wazazi watujue ndio habari ya mjini broo.

#YNWA
 
Kung'ang'ania mtoto asie wako ht km umelea nao ni ujuha mwingine wa kujidanganya nafsi...km mtoto sio wangu ht km nimemsomesha mpaka chuo kikuu nakuachia, ntabaki kua baba yake wa kufikia. Ntamuachia mtoto aamue anataka kukaa kwa nani ila sio kumg'ang'ania coz unaweza kumkatalia siku akijitambua atamtafuta baba yake na hutakua na la kifanya...na km ni hivyo why ucheleweshe tatzo.
Watarudi tu naamini.

#YNWA
 
Ndo maana sipendagi kumwaga ndan kwa mwanamke nisie kua na malengo nae.

Aya Mateso ya nafsi anayopitia mtoa mada,

Ndio wanayapitia wanaume wengi Sana Kwenye jamii tunayoishi kila siku.

Sema tu mtoa mada kajitoa muhanga kuyaelezea.
Asante kwa kunitetea.

#YNWA
 
Back
Top Bottom