Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Anaanzaje kudai kwa haki ipi aliyonayo? Akute tu mume wa bidada akubali kumwachia mtoto, mwingine hamuachii hata kama atahakikisha sio wa kwake wa kumzaa. Mtu kalea mimba, kaoa, kalea mtoto amekuwa mkubwa tayari wametengeneza bond...kwa mtu anayejitambua huyo mtoto hamuachii. Kisheria mtoto ni wa mume.
Kung'ang'ania mtoto asie wako ht km umelea nao ni ujuha mwingine wa kujidanganya nafsi...km mtoto sio wangu ht km nimemsomesha mpaka chuo kikuu nakuachia, ntabaki kua baba yake wa kufikia. Ntamuachia mtoto aamue anataka kukaa kwa nani ila sio kumg'ang'ania coz unaweza kumkatalia siku akijitambua atamtafuta baba yake na hutakua na la kifanya...na km ni hivyo why ucheleweshe tatzo.
 
Kung'ang'ania mtoto asie wako ht km umelea nao ni ujuha mwingine wa kujidanganya nafsi...km mtoto sio wangu ht km nimemsomesha mpaka chuo kikuu nakuachia, ntabako kua baba yake wa kufikia. Ntamuachia mtoto aamue anataka kukaa kwa nani ila sio kumg'ang'ania coz unaweza kumkatalia siku akijitambua atamtafuta baba yake na hutakua na la kifanya...na km ni hivyo why ucheleweshe tatzo.
Sawa mkuu, ila wapo ambao hawawezi kuachia mtoto.
 
Haya bwana. mwaka huu nitaleta uzi wangu kuhusu maisha yangu...dah sipati picha comments za wadau

Hakikisha unakunywa lite ya bariiidi ili uweze kuhimili.

Ila mimi sitakuponda sana
 
Umeuelewa mkasa, uwezo hapo unatoka wapi? Niliwazaa nikiwa na nao ndani ILA.....

1. Ulitaka nibadili dini, na ILI IWEJE?
2. Ulitaka nikomae na mwenye ukimwi wake? ILI IWEJE
3. Ni mke wa mtu, ULITAKA NIKAIVUNJE NDOA YAKE?
4. Malaya wa Badoo ulitaka nioe Malaya wa social media?

#YNWA
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndo maana sipendagi kumwaga ndan kwa mwanamke nisie kua na malengo nae.

Aya Mateso ya nafsi anayopitia mtoa mada,

Ndio wanayapitia wanaume wengi Sana Kwenye jamii tunayoishi kila siku.

Sema tu mtoa mada kajitoa muhanga kuyaelezea.
 
WEWE NDIO NY*K*...

WANAWAKE HATA HAWANA TATIZO KABISA WALIKUWA SAHIHI KABISA...

CHA KUKUSHAURI TU MTAFUTE GEAH HABIB WA HEKAHEKA...MTAFIKA MPAKA USTAWI...
 
Damu ni Nzito kuliko Maji, km kweli ni wako watakutafuta tu someday..inaweza kua sio leo wala kesho ila watakutafuta tu. Otherwise km una guts nenda kadai watoto wako..wapigie hesabu wakifika 7yrs nenda kawadai.
Haha wapi !
 
Wewe hutakaa uweze kuwa baba,wala usihangaike kuwatafuta
 
Sipo kiroho sana ila swala lako linahitaji msaada kiroho

kuna roho zimekushikilia,kuna vifungo/kamba zinahitaji kukatwa na kuvunjwa vunjwa

you need help brother,unapambana na visivyoonekana wa macho si rahisi kama unavyofikiri

kubali kataa rudi nyuma jichunguze angalia ulipita wapi kisha safisha vunja vunja then Start A fresh

Unaishi ktk ulimwengu flani ambao sijui kama unaelewa lakini swala lako linamuhitaji MUNGU zaidi kuliko shauri zetu.
 
Sipo kiroho sana ila swala lako linahitaji msaada kiroho

kuna roho zimekushikilia,kuna vifungo/kamba zinahitaji kukatwa na kuvunjwa vunjwa

you need help brother,unapambana na visivyoonekana wa macho si rahisi kama unavyofikiri

kubali kataa rudi nyuma jichunguze angalia ulipita wapi kisha safisha vunja vunja then Start A fresh

Unaishi ktk ulimwengu flani ambao sijui kama unaelewa lakini swala lako linamuhitaji MUNGU zaidi kuliko shauri zetu.
Kwakweli hapa ni maombi yanahtajika sio ushauri.
 
Back
Top Bottom