Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi 10 tenaa...Umeisha wapata mkuu, kupitia jukwaa hili tayari wahusika, wametambua kwamba wewe ndiye baba halisi. Subiri miaka kumi watajileta wenyewe.
Mi nachohitaji ni damu yangu tu.Mzee wa vyombo vikali sanaa(unapenda misifa kama dully sykes)
Hizi za kwangu kweli zotee.sometimes unakuta ni za kwako kweli au unasingiziwa nilishawahi singiziwa mimba Kama sita na nikazipangua zote
Ulitaka nifanyaje?Kama wanawake nyoko, basi wewe ni nyokoro aisee khaaaaaaa
Ulitaka nifanyaje?Sema wote hao unashindwa kuwa na hata mmoja, tafakari sana
Ulitaka nifanyaje....?Tatizo ni wewe. Na bado mtoto wa 5 utampoteza mwaka huu
Mi ni shabiki wa Yanga sio utupolo..Huyu atakuwa mshabiki wa Utopolo tu, hawa wako safu ya mbele kwenye list ya wakosaji magoli
Nani alikutuma utembee na Malaya tena bila kinga? Condom sio kwaajili ya kuzuia ukimwi peke yake bali hata mimba. Huna tofauti na huyo malaya. Tabia yako ya kiume ya kuchovya chovya ndo iliyokuponza. Unato.mba wanawake kuridhisha hamu zako tu lkn huna future yoyote na wao. Usipobadilika utaendelea kupoteza watoto.Ulitaka nifanyaje....?
1. Ulitaka nibadili dini, na ILI IWEJE?
2. Ulitaka nikomae na mwenye ukimwi wake? ILI IWEJE
3. Ni mke wa mtu, ULITAKA NIKAIVUNJE NDOA YAKE?
4. Malaya wa Badoo ulitaka nioe Malaya wa social media?
#YNWA
Ulitaka nifanyaje?
Umeuelewa mkasa, uwezo hapo unatoka wapi? Niliwazaa nikiwa na nao ndani ILA.....
1. Ulitaka nibadili dini, na ILI IWEJE?
2. Ulitaka nikomae na mwenye ukimwi wake? ILI IWEJE
3. Ni mke wa mtu, ULITAKA NIKAIVUNJE NDOA YAKE?
4. Malaya wa Badoo ulitaka nioe Malaya wa social media?
#YNWA
Tatizo ni wewe. Na bado mtoto wa 5 utampoteza mwaka huu
.... na nusu.
#YNWA