LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Huyu muuza duka nimejuana nae miezi 3 iliyopita na toka hapo nakopaga ila nampa pesa yake jioni nikifeli saana kesho asubuhi nampati.
Sasa Jana asubuhi nimepitia hapo asubuhi baada ya kutoka kwenye ofisi yangu nikamwambia anipe mkate wa buku hela nampitishia jioni, akagoma kunipatia akidai faida yake ni ndogo sana nikakubali matokeo nikaondoka ila jioni nimepita nikamuungisha mkate na unga, lipa wema kwa ubaya.
Sasa Jana asubuhi nimepitia hapo asubuhi baada ya kutoka kwenye ofisi yangu nikamwambia anipe mkate wa buku hela nampitishia jioni, akagoma kunipatia akidai faida yake ni ndogo sana nikakubali matokeo nikaondoka ila jioni nimepita nikamuungisha mkate na unga, lipa wema kwa ubaya.