Pole sana na ushauri mwingi uliopata. Nimefahamu kuwa kumbe JF ni kila kitu. Ushauri, utafiti, upimaji na hata kuagiziwa dawa ka vile hayo mafuta ya taa na Rungu spray. Dah! Sasa sijui utaanza na kiti.
Ila; Nakushauri hivi:
Kwanza ulifanya vizuri saana kumwandaa. Pili, tatizo lako kuubwa ni kwamba ulipotoka tu ukaanza kujitangaza mtaani kuwa leo umefaidi. Pale mtaani wapo wengi tu walikuwa wanamtaka ila wakamkosa. Ndo hao hao ulioenda kuwatambia. Wadhani ungeambiwa nini?? Hakuna hata mmoja keshathibitisha kuwa ana ngoma. Hakuna bali tetesi.
Hatutaishi kwa tetesi. Hatutaishi kwa hofu. Mpaka uukwae si kwa mlipuo 1 tu ati tiyari. Nimewahi kuandika humu kuwa; Waweza lala na mwanamke HIV+ na tena bila kinga wala usiupate. Mara nyingi wale wanaowaparamia bila hata kumuandaa hawa ndio huupata. Wale wanaowaandaa huponea tundu la sindano.
Kama ulimuandaa vilivyo yaani hadi kunyonya titi bovu, wewe huna shida. Wala usiende kupima bali rudia tena na this tyme muulise nini chanzo cha hicho kidonda. Liamini jibu lake wala hofu usiwe nayo. Kwa kheri tutaonana motoni kwa wazinzi.