Nimenyoosha mikono juu Chaaaaaaaa

Nimenyoosha mikono juu Chaaaaaaaa

Tatizo la uongozi was Try again na Babra ni kufukuza makocha hovyo hovyo, bila kujua kiini Cha tatizo , tatizo ni usajili mbovu, binafsi Pablo angepewa muda zaidi, kwa sababu alikuta timu imeishajiliwa, safari hii angesajili mwenyewe kulingana na mapungufu aliyoyaona kwenye msimu, mwisho was msimu ndio angejadiliwa. Sasa huyu kocha hakuwa na timu, kakuta baadhi ya wachezaji wameishasajiliwa, wale wazamani pia hajui nani mzuri nani mbaya- yaani ndio yuko anatafuta kikosi- mwisho wa msimu atafukuzwa- usajili utaanza katikati ataletwa kocha mwingine- Sasa jamani hivi kweli try again na Barbra hawajui timu ilihitaji kusajili kiungo mkabaji wa chini- tumekosa Adebayo, Aziz ki, Manzoki, eti tunamtegemea Kiyombo na Mzamilu- wenzetu wanaachana na kina kaseke- sisi tumeng'ang'ania kina mzamilu- waondoke tu hawa viongozi; la sivyo hatununui jezi wala hatuendi uwanjani.
 
Matacle ya kocha

Anamuingiza mtoto wa dada yake anamuacha phiri?

Hili zee tulibwageni kabla halijatuletea mapichapicha
 
Simba tusife moyo.kufungwa NI kawaida.bahati haikuwa yetu.
Tujiandae na ligi na club bingwa.msichoke.
Tulianza vizuri mechi kipindi Cha kwanza.ila.cha pili kina makosa yalifanyika yakatugharimu
 
Yanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.

Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hatujamaliza hatujamaliza mlete mdhunguu mlete mdhunguu uyo apo mdhunguu[emoji1787][emoji1787] unateseka ukiwa pande gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kile kikosi cha kwanza naona ni kama cha matola kabisa
 
Yanga hawana uwezo. Kutokuwa bora kwa simba leo ndio imewafanya yanga kuonekana wazuri
 
Yanga kwa Al hilal hatoboi, kwa game ya leo, hatoboi.

Huku kwetu atatukalisha sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁🤸🏿🤸🏿🤸🏿
 

Attachments

  • bobmastory~p~ChNe6piKnHD~1.jpg
    bobmastory~p~ChNe6piKnHD~1.jpg
    51.6 KB · Views: 3
Wewe ushazoea humu kuandika propaganda za kijinga na mwisho wa siku unakua disappointed Kama hivi.

Mwenzako OKW BOBAN SUNZU kashaandika propaganda nyingi mpaka kachoka sasa..[emoji16]

Ni vyema ujifunze kwanza football na misingi yake,mpira hauchwezi mdomoni..
 
Wewe ushazoea humu kuandika propaganda za kijinga na mwisho wa siku unakua disappointed Kama hivi.

Mwenzako OKW BOBAN SUNZU kashaandika propaganda nyingi mpaka kachoka sasa..[emoji16]

Ni vyema ujifunze kwanza football na misingi yake,mpira hauchwezi mdomoni..
Tulia we topolo
 
Nishaanza kuogopa kimataifa it seems like kocha hampendi Moses Phiri wala chama...na hata hajui jinsi ya kuwatumia okrah, chama, sakho,okwa kwa pamoja ndiyo maana matola kama kujifanya fala kwenye benchi halafu bado watu wanamlaumu, kapombe naye eti ni sub ya mwenda
Phiri aliingia game ya St. George na alizingua tu, acha ushabiki maandazi, hamna timu pale. Simba mmesajili kwa mhemko sana.
 
Back
Top Bottom